Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hadi jarida la Wakunya limemripoti Kijana wa Kitanzania.

Wakunya wanajiuliza imekuaje Kiaje 🤣😁
Screenshot_20230921-144648.jpg
 
Tazama nguvu ya pesa waliyonayo watanzania kudadadeki, watu wameenda kuivamia Kigali kama kwao.

Hakuna nchi yoyote ile Africa hii ambapo mashabiki wake wana uwezo wa kwenda kuujaza uwanja wa nchi jirani kama kwao vile, hii ndiyo maana halisi ya uchumi mkubwa.
hq720 (1).jpg
maxresdefault (2).jpg
hq720 (2).jpg
 
Hawa tunavyowachekea chekea humu kuwaliwaza kutokana na shida na umaskini walio nao basi wanadhani sisi ni saizi yao, au wanavyoona vi figure vya GDP za mchongo wanazoziandaa vyumbani mwao basi wanafikiri wapo sawa na sisi. Dawa yao ni kuwaonesha uhalisia maamaee zao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dawa yao kuwatembezea spana kama unazowatembezea hadi wanakimbia humu 😀
 
Back
Top Bottom