Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

True Giant of East Africa 😆. Vitu wanatutumia hapa ni propaganda wanalishwa na government 🤣🤣🤣🤣. Wanasema Tanzania will be built by Tanzanians huku moyoni wanaomba sana "kwa jirani kuwake moto" ndio wawekezaji watoroke waende kwao. Nilidhani ardhi ni yao na hawataki foreigners in their land 🤣🤣🤣
. Watu wenye wivu na roho chafu sana


View: https://x.com/rollymsouth/status/1703315551399850448?s=20
 
Hersi naona ni mzuri sana kwenye Sports Diplomacy and Cooperate Social Responsibility. Yanga inaenda kuwa na matawi nchi nyingi sana which guarantees enough fans and more business for the club. Jana ukiacha ushindi lakini tumeipa experience tofauti kabisa Kigali……uchizi wa soka. Imagine team zote mbili ziko kwenye foreign land lakini uwanja umejaa, haya maajabu unayapata Bongo tu ukanda huu, ingekuwa hapo +254 mechi kama hii ingetazamwa na benchi la ufundi, makamisaa na viongozi wa team basi😅😅
😂😂 si ajabu nikisikia wenyeji wenyewe kwenye mechi zao za CAFCC na CAFCL hawajazi, achilia mbali mechi za ligi yao
 
True Giant of East Africa 😆. Vitu wanatutumia hapa ni propaganda wanalishwa na government 🤣🤣🤣🤣. Wanasema Tanzania will be built by Tanzanians huku moyoni wanaomba sana "kwa jirani kuwake moto" ndio wawekezaji watoroke waende kwao. Nilidhani ardhi ni yao na hawataki foreigners in their land 🤣🤣🤣
. Watu roho chafu sana


View: https://x.com/rollymsouth/status/1703315551399850448?s=20

Kumtibu mtoto wa chini ya miaka 5 kwenye hospital ya umma ni bure. Mtanzania yeyote, pamoja na wew unaedandia vitu usivyovijua, kama hujui hili ni ujinga wenu
 
You know your currency is Tanzania shillings? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Let me make the explanation simpler for you. Assume you have two currencies, currency A and currency B. If 1 shilling of currency A equals 20 shillings of currency B, it means that currency A is stronger than currency B. In this context, currency A has more purchasing power compared to currency B. This means that with 1 shilling of currency A, you can buy more goods or services than you can with 20 shillings of currency B. So, in terms of purchasing power, currency A is stronger and more valuable.
You really are a thick head. Let me break it down for you in simple terms, I get more fuel per litre with weaker Tanzanian shilling that what I will get with stronger Kenyan Shilling.
What does that mean? It means Tanzanian shilling purchasing power iko juu. This example cascades down to all others commodities such as food etc.
 
Back
Top Bottom