Nyinyi ndio maana hata akili zenu zimeshikwa na wanasiasa kama serekali ya tanzania imesema amefia kwenye hospitali hapa dar ww ni nani unabisha tuseme hvi tukuamini ww na tuache kumuamini rais wa nchi 🤣🤣🤣🤣🤣 hakuna ushahidi wowote na hutapata mpaka dunia inasimama
View: https://twitter.com/BBCAfrica/status/1372289859931545604?t=_zHeuoL7rVRHjIcIL06-BA&s=19
Ukiskia kuchanganyikiwa ndio huku sasa😅
The fastest man on the continent 💯💯💯We dine with the best
View attachment 2751733
Sisi hawatuwezi bhana. Kitu pekee wanaleta competition kwasasa hawa nyang'au ni apartments tu. Tumewazidi kila kitu. Anyways kilimo Tz 👇
View: https://www.instagram.com/reel/CxR2vXwo4G_/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==.
Sisi hawatuwezi bhana. Kitu pekee wanaleta competition kwasasa hawa nyang'au ni apartments tu. Tumewazidi kila kitu. Anyways kilimo Tz 👇
View: https://www.instagram.com/reel/CxR2vXwo4G_/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==.
Kama gidipii ni what you physically see on the ground then nyie ni zaidi yetu and if it's otherwise kaeni kwa kutulia tu. Sisi ni true father of East Africa.Mmetuzidi kwa kila kitu yet GDP says a different story 🤣🤣🤣. Kila mwaka mnasema mnatupita but the gap just keeps getting larger 🤣🤣🤣
Sisi hawatuwezi bhana. Kitu pekee wanaleta competition kwasasa hawa nyang'au ni apartments tu. Tumewazidi kila kitu. Anyways kilimo Tz 👇
View: https://www.instagram.com/reel/CxR2vXwo4G_/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==.