Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa
20230911_163937.jpg
 
Why would we?….. what’s the big deal about this?…. If you only knew the Military pact Kenya has with the US….it might blow your simple mind… There is no discussion here… find another bone to pick…🤣🤣🤣
Mnavyojidanganya wakunyata mnajiona nyie ni special flan kwa america 😀,hizi joint combine exchange training US army anafanya na kila taifa rafiki but kundustan mnajifanya mpo deep zaidi na US army kuliko taifa lolote😀,then kwa taarifa zenu kwa ukanda huu hamna nchi ambayo iko close na USA kama TZ thus y hata viongozi wakubwa wa US uwa wanapita TZ,na sasa hivi kijeshi ni hatari zaidi ni vile TPDF halinaga show off
 
Shida wewe sii Mhandisi so siwezi kulaumu. Wacha nikuoe mfano, Thika Road, 50km x 2 imejengwa Na Dola million 300 mwaka wa 2009-2012. Ingekuwa Leo hii, ingekuwa Zaidi ya Dola million 600. Kenol - Marua, 84km x 2 imejengwa na Dola million 167.

Ujenzi wa barabara unatia maanani vitu vingi, Sio urefu wa barabara tu. Usilazimishe vitu bradhee. Hamjajenga 50km kuingia Dar alafu mjenge 218km kuingia Malawi? Tufuate kilichoandikwa, Sio hadithi za abunuwasi.🤣🤣

View attachment 2745800
Huyo kilaza wa bongo umemshika kwenye kende. Zivute kabisa hadi zikatike. Yani Dar ndio haina barabara kama hiyo alafu ndio wajenge ya kuingia Malawi? Kwani wanadhani sisi ni vilaza kama wao?
 
Back
Top Bottom