Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Hio ndio njia kuelekea kwa billionaire bakhresa, tulia mkaazi wa buza🤣Kwani bakhresa anakaa wapi??? Unaijua nyumba yake ??? Au hasira hazina mipaka🤣🤣 kazi ulionayo unaokota chochote unapost
Hio ndio njia kuelekea kwa billionaire bakhresa, tulia mkaazi wa buza🤣Kwani bakhresa anakaa wapi??? Unaijua nyumba yake ??? Au hasira hazina mipaka🤣🤣 kazi ulionayo unaokota chochote unapost
Alooo mbona unalia sasa, ooh akibisha nitag🤣🤣🤣Sama boy 255 naona moto uliouacha leo mpaka jamaa yako kaanza kupost sijui hoteli sijui shule haya yote yametokana na masaki sehem ambayo anashindana nayo mwaka wa nne anahangaika nayo na hajawah kufaulu🤣🤣🤣
Moyo wake unakwenda mbio ikiwa kaligraph na ufala wake wote katupa taulo chini yeye nani asing'ate ulimi 😅😅😅😅😅
Enhhh sasa unataka kunipiga tena au🤣🤣Hio ndio njia kuelekea kwa billionaire bakhresa, tulia mkaazi wa buza🤣
Abishe mara ngapi kawakanyaga vya kutosha leo mtu mmoja kawalaza chali watu wanne manyuzii😅😅😅😅😅Alooo mbona unalia sasa, ooh akibisha nitag🤣🤣🤣
Na karen ikitoboa kwa mbweni nitag mm nifunge acc maana masaki ni maji marefu sana tena sana 😅😅😅😅😅Alooo mbona unalia sasa, ooh akibisha nitag🤣🤣🤣
Vid hii ina 10min angalia uone balaa
Hii sio mall wala haipo moscow bali ni 👇👇
Mwenge city bus terminal 😅🇹🇿🇹🇿
Kazi yangu mm kuwafanya munune na kukasirika na sina kazi nyingine kwenu, asanteni
View attachment 2731717View attachment 2731718View attachment 2731719View attachment 2731720View attachment 2731722View attachment 2731723View attachment 2731724View attachment 2731725View attachment 2731726View attachment 2731727View attachment 2731729View attachment 2731730View attachment 2731731View attachment 2731732View attachment 2731733View attachment 2731734View attachment 2731735
View: https://youtu.be/y7Ky6-IxJeQ?si=oOpct7vQhSdWcPVq
Huyo jamaa jamaa ni Chizi, eti anadhani nitapiteza muda na hiyo post yake 🤣🤣🤣🤣Abishe mara ngapi kawakanyaga vya kutosha leo mtu mmoja kawalaza chali watu wanne manyuzii😅😅😅😅😅
Coco reborn haya njoo ulie sasa🤣🤣🤣Huyo jamaa jamaa ni Chizi, eti anadhani nitapiteza muda na hiyo post yake 🤣🤣🤣🤣
Na karen ikitoboa kwa mbweni nitag mm nifunge acc maana masaki ni maji marefu sana tena sana 😅😅😅😅😅
Na hii vid ina 10min angalia uone maajabu hujawah ambiwa na kenyatta mpaka anakufa
View: https://youtu.be/ooFORhE4y7o?si=nEKHNimCldSxbi2N
no tarmac 🤣🤣🤣🤣Guys do you see a pattern?🤣View attachment 2731843View attachment 2731844View attachment 2731845View attachment 2731846
Tarmac not allowed estates🤣no tarmac 🤣🤣🤣🤣
Fungua video alaf uoneshe no tarmac chizi wewe 🤣🤣🤣👇👇👇no tarmac 🤣🤣🤣🤣
Na karen ikitoboa kwa mbweni nitag mm nifunge acc maana masaki ni maji marefu sana tena sana 😅😅😅😅😅
Na hii vid ina 10min angalia uone maajabu hujawah ambiwa na kenyatta mpaka anakufa
View: https://youtu.be/ooFORhE4y7o?si=nEKHNimCldSxbi2N
Nioneshe kwenye hio video kama kuna sehem wameonesha hakuna tarmac road nifunge acc sasa hahahahahahah😅😅😅😅😅 unajitia mwehu auTarmac not allowed estates🤣
Fungua video alaf nioneshe sehem no tarmac chizi wewe, akili zenu wote zakushkiwa tu 😅😅😅😅👇👇👇 ndio maana wanasiasa wenu wanakula pesa tu nyinyi mumekaa kudanganywano tarmac 🤣🤣🤣🤣
Hzi picha umetoa wapi??? Kwenye hii video nioneshe na ukinionesha na mm ntakuonesha jogoo anaetaga 😅😅😅😅Guys do you see a pattern?🤣View attachment 2731843View attachment 2731844View attachment 2731845View attachment 2731846