Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Masaki imemtoa kamasi kakimbilia shule sasa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… yani hua halali akiwaza tanzania hiii yani inawanyima raha kabisa
Ajabu kweli, 🀣🀣🀣 jamaa anakimbilia kushindanisha shule eti 🀣🀣🀣 na malls 🀣🀣🀣. Kashimdwa kwenye makazi ya watu anatafuta pakutokea. 🀣🀣🀣 Hanipati uko, najua huo ni mtego
 
Ajabu kweli, 🀣🀣🀣 jamaa anakimbilia kushindanisha shule eti 🀣🀣🀣 na malls 🀣🀣🀣. Kashimdwa kwenye makazi ya watu anatafuta pakutokea. 🀣🀣🀣 Hanipati uko, najua huo ni mtego
Huyo ni kawaida yake ndio maana anaitwa zwazwa akishindwa hoja hua anajaribu kutafuta njia yakuchomoka na hii vita ya masaki amekua akilia nayo over 4 yrs hapa🀣🀣 na let me tell u hakuna posh area inawaumiza vichwa kama masaki mark my words

Yaani hua wanaumia kisawasawa usione hvi vile wanakwenda mbio na ndio huyuhuyu zwazwa utamkuta kwenye majukwaa mengine anaiponda tanzania na kuitukana kisa tu kaona kuna mambo tanzania imewazidi mbali πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Na ndio hawa hawa walidanganywa na wanasiasa wao kua wao ndio wako level za europe na africa iko nyuma yao ona sasa leo mambo kwa ground inavowaumbuπŸ˜… wanashtuka leo kumbe miaka yote wanadanganywa wao ndio kwanza wanarudi nyuma na africa yenyewe inakwenda mbele kwa mbio za ajabu
 
Can't you see Kati ya mitaa yote nimepost umeweza kuona vipande vitatu tu vya rough roads .? 🀣🀣🀣 Ambavyo tena ni under construction.? Masaki is something else.. Karen ni mbezi beach iliyochangamka
eti under construction, wapi? onyesha nione πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ yaani na zoom every place.., kule juu, upande wa kuelekea Oyster Bay.., kati kati.., wewe wacha janja janja, onesha sehemu kuna construction ni zoom sasa hivi..., google earth kiboko ya waongo na mwehu kama wewe..,, nimekubana kabisaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ₯° pedestrian path utasema paris
Screenshots_2023-08-27-21-37-01.png
 
Ajabu kweli, 🀣🀣🀣 jamaa anakimbilia kushindanisha shule eti 🀣🀣🀣 na malls 🀣🀣🀣. Kashimdwa kwenye makazi ya watu anatafuta pakutokea. 🀣🀣🀣 Hanipati uko, najua huo ni mtego
Nakuonyesha kila kitu. Kwa makazi nitafika tu. Nacompare kila kitu Karen na Masaki nikuonyeshe kwa nini hizi estate mbili zipo Dunia mbili tofauti. Nimeanzana na size maanake mmekuwa mkipiga kelele ooh Masaki Ni kubwa. Nimewaonyesha Karen Ni Mara 14 kubwa kuliko Masaki. Msiwe na uoga. Kwa makazi nitafika tu. Najua Masaki inatesa hapo Dar, si unajua Manyunyu ni mafuriko kwa siafu. Hiyo Masaki ukiileta Nairobi hata top 20 haiguzi. Usiwe muoga bradhee.🀣
 
Nakuonyesha kila kitu. Kwa makazi nitafika tu. Nacompare kila kitu Karen na Masaki nikuonyeshe kwa nini hizi estate mbili zipo Dunia mbili tofauti. Nimeanzana na size maanake mmekuwa mkipiga kelele ooh Masaki Ni kubwa. Nimewaonyesha Karen Ni Mara 14 kubwa kuliko Masaki. Msiwe na uoga. Kwa makazi nitafika tu. Najua Masaki inatesa hapo Dar, si unajua Manyunyu ni mafuriko kwa siafu. Hiyo Masaki ukiileta Nairobi hata top 20 haiguzi. Usiwe muoga bradhee.🀣
Hata yule mpayukaji ichoboy amekimya baada ya kumuekea facts πŸ˜…
 
Hata yule mpayukaji ichoboy amekimya baada ya kumuekea facts πŸ˜…
Facts gani katoa ??🀣🀣🀣🀣 hebu mwambie arudie facts gani kabanwa na masaki kaanza kukimbilia shule na mall na mm nilijua baada ya kibano ni shule na mall

Mada ya masaki huu ni mwaka wa nne unamtoa jasho kila akijaribu anaramba mchanga πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mwambie zwazwa mm sio type yake atafute type zake wakenda nae sawa sisi wengine tuko level za mbali sana tena sanaaa
 
Hata yule mpayukaji ichoboy amekimya baada ya kumuekea facts πŸ˜…
Nyenyenye karen hakuna vumbi labda vumbi la congo ndio hakuna ila matope ya nairobi yapo mpaka kwenye mashimo ya maji safi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kwa maneno yenu yakujisifia tulitegemea muwe level za norway hvi lakini wapiii zimbabwe iko ahead of u
 
Sama boy 255 unaona vile umemnyamazisha atakaa tena muda hvi ndoto ya masaki itamuijia tena ataanza tena vita na masaki πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… yani masaki ni hua inaamsha mashetani yao alaf hua inawatia uchungu sana kuona ile nchi waliokua wanaitukama 7 yrs back leo inawapumulia juu ya komwe
 
Nimesikia chizi mmoja anazungumzia kuhusu posta na westland heheh hebu kwanza nicheke mimi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… maana hii thread imefungua vichwa na akili kisawasawa
 
Back
Top Bottom