Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20230826_230111.jpg
20230826_230114.jpg
20230826_230108.jpg



View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1695516624613261780?t=tZHzKDX6aQmkOL-8bAUu5w&s=19
 
Huwa hajielewi huyo jamaa...
Ni mropokaji flani hivi ambae kichwa chake kina pitisha upepo
Utamkuta kwenye kila social media kazi yake ni kuichafua tanzania 🤣🤣 sasa wakat mwengine najiuliza swali ok unaichafua tanzania je ukweli utaweza kubadilika na kua uongo kwa dunia ya sasa hvi kila mtu mjuaji dunia iko wazi namna hii

Shida yao kubwa hawataki kuiona tanzania ikiwazidi kwenye chochote yani kwa vile waliaminishwa kua nchi yao iko sawa na norway 🤣🤣🤣🤣
 
Utamkuta kwenye kila social media kazi yake ni kuichafua tanzania 🤣🤣 sasa wakat mwengine najiuliza swali ok unaichafua tanzania je ukweli utaweza kubadilika na kua uongo kwa dunia ya sasa hvi kila mtu mjuaji dunia iko wazi namna hii

Shida yao kubwa hawataki kuiona tanzania ikiwazidi kwenye chochote yani kwa vile waliaminishwa kua nchi yao iko sawa na norway 🤣🤣🤣🤣
Ukiona ule uozo ulipo naipori... Halafu ndio umekaririsha kibera ni pazuri kuliko Dar ndio unaweza jiuliza Dar itakuwa katika hali gani!?

Sasa ukikutana na reality ndio hapo jamaa ana geuka mwehu tu kurusha propaganda za hovyo hovyo.

Internet imewaumbua sana Hao kenge wa north.
 
Back
Top Bottom