Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maisha ya wakenya yamekua ya ufukara wa kutisha kiasi kula jalalani sio ishu ya vichaa peke yao, wakenya wameona vichaa hawana complain yoyote na ugumu wa maisha now they joined the group, hawajui vichaa wana immunity tayari wameingia kichwa kichwa bila kupewa modules ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ matokeo yake wameng'ata ulimi


View: https://twitter.com/citizentvkenya/status/1691706035747139977?t=SbQSkPNzg_izjTyrP4mKBA&s=19

Nimecheka sana wallahi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Wadau JF app yangu inagoma kufungua nyuzi za cost comparison ya sgr na battle ya Dar vs Nairobi inaleta error messge lakini nyuzi nyingine zote inafungua vizuri tuu. Nimejaribu ku reinstall hii app twice lakini hakuna improvement yoyote je kuna mtu mwingine yoyote anayepitia changamoto hii au ni mimi tuu msaada plz.
Mimi mbona nilisema hili wiki iliyopita nili notice hili tatizo, unajua jamaa hawataki tutumie app, sasa wameona kukomesha hiyo hali wameanza ku ban nyuzi ambazo mtu anapenda kutembelea mara kwa mara.

Yani jf inapoteza mvuto kabisa kadri siku zinavyozidi kwenda.

Wanalazimisha wote tutumie browser wakati browser yenyewe sio user friendly especially kwa anayetumia simu. Nina wiki mbili sasa nafungua jf kwa kutumia browser lkn sijaizoea kabisa na sidhani kama nitaozoea, matokeo yake sina hata hamu ya kuingia jamiiforums.

Cc Maxence Melo Moderator Paw
 
Mimi mbona nilisema hili wiki iliyopita nili notice hili tatizo, unajua jamaa hawataki tutumie app, sasa wameona kukomesha hiyo hali wameanza ku ban nyuzi ambazo mtu anapenda kutembelea mara kwa mara.

Yani jf inapoteza mvuto kabisa kadri siku zinavyozidi kwenda.

Wanalazimisha wote tutumie browser wakati browser yenyewe sio user friendly especially kwa anayetumia simu. Nina wiki mbili sasa nafungua jf kwa kutumia browser lkn sijaizoea kabisa na sidhani kama nitaozoea, matokeo yake sina hata hamu ya kuingia jamiiforums.

Cc Maxence Melo Moderator Paw
Inasumbua karibu mwezi sasa.
Sisi wavivu wa kulogin kwenye browser inatukera sana.
Ndio maana nimeadimika sana humu.
 
Mimi mbona nilisema hili wiki iliyopita nili notice hili tatizo, unajua jamaa hawataki tutumie app, sasa wameona kukomesha hiyo hali wameanza ku ban nyuzi ambazo mtu anapenda kutembelea mara kwa mara.

Yani jf inapoteza mvuto kabisa kadri siku zinavyozidi kwenda.

Wanalazimisha wote tutumie browser wakati browser yenyewe sio user friendly especially kwa anayetumia simu. Nina wiki mbili sasa nafungua jf kwa kutumia browser lkn sijaizoea kabisa na sidhani kama nitaozoea, matokeo yake sina hata hamu ya kuingia jamiiforums.

Cc Maxence Melo Moderator Paw
Dah kazi kwelikweli hata mimi imenifanya niishiwe na hamu ya JF na baada ya hili tatizo nimekuwa mbali sana na hii forum
 
Huyu demu anatoka saud arabia riyadh hua anapenda sana nyimbo za kutoka tanzania ikiwemo za zuchu, diamond etc
Screenshot_20230826-142008.png
Screenshot_20230826-142029.png








Sikiliza comment za watu wajinga kuwahi kutokea duniani ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… hvi nani hamjui diamond na zuchu au alikiba kua ni watu kutoka wapi???๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Screenshot_20230826-142036.png

Screenshot_20230826-143247.png
 
Guess whoโ€™s back from summer vacay?โ€ฆ.. I see Wabongo still posting same bsโ€ฆ same soup just reheated over and over..๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
A couple of months backโ€ฆ a few Bongolalas posted that KDF and rest of EACRF are about to be booted out of DRCโ€ฆ I said that might be the case but KDF as a force ainโ€™t leaving DRC especially Goma any time soon and if so I will funga my account for goodโ€ฆnow letโ€™s see what naysayers will sayโ€ฆ Kenya is playing on two fronts.. one regional and one bilateralโ€ฆ. As eyes are focused on EACRFโ€ฆ Kenya now has a bilateral military pact with DRC called KMATT , whereby KDF will be now the official training force for DRC armyโ€ฆ bang!โ€ฆ just like that โ€ฆ plan B in motionโ€ฆso whatever happens to EACRF โ€ฆ Kenya will still call shots in DRCโ€ฆI told you soโ€ฆ
60678D2B-E4E7-4F45-9B3B-D7BA69586CFB.jpeg
 
Immediately after KMATTโ€ฆ Israel signs a defense pact with Kenyaโ€ฆ if you think they two are not related, then you have no clue on foreign policy matters
73DB1BB6-70FF-4626-8C91-2A49163300A9.jpeg
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 

Attachments

  • Screenshot_20230826-164441.png
    Screenshot_20230826-164441.png
    139.1 KB · Views: 8
AMARII jaribu kumuuliza huyo zwazwa wana assemble VW ya aina agani na wana assemble gari ngap kwa mwaka na wanamauzo ya gari ngap kwa mwaka alaf usikie majibu unitag nije nikuoneshe kale kachupi anakopenda sana kuvaa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hiyo mobius yenyewe ina miaka 10 lakini fatilia mauzo hata gari 50 hawajauza na still bado probox ndio gari pendwa kenya nzima
Kwenye gari 10 za kenya basi 9 ni probox na akibisha tu nitag plz

Huwa hajielewi huyo jamaa...
Ni mropokaji flani hivi ambae kichwa chake kina pitisha upepo
 
Back
Top Bottom