Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Omba samahani mzee nikuonee huruma 🤣🤣🤣🤣
amefinywa penyewe, kilaza anatafuta pakutokea sasa., pumzi kwisha, siku nyingine kabla ujibizane nami uwe umejipanga kwa facts, sio hadithi za vijiweni, nyambaff, potelea mbali 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
amefinywa penyewe, kilaza anatafuta pakutokea sasa., pumzi kwisha, siku nyingine kabla ujibizane nami uwe umejipanga kwa facts, sio hadithi za vijiweni, nyambaff, potelea mbali 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Wacha niendelee kukupiga spana, bado hujasema .. 🤣🤣 mashujaa monument U/C 👇
20230725_153343.jpg
20230725_153355.jpg
...👇
View: https://www.instagram.com/reel/CvQOgoWNQ64/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==. DODOMA government city moja hiyo .. 🤣🤣🤣..
 
ichoboy01 njoo uku uone.. 🤣🤣🤣🤣🤣.. Saivi eti wao ndio wanatukopesha Ili tujenge SGR yetu.. kwanini wasijikopeshe Ili wamalizie ile mess yao a railway to no where .? 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 bro taratibu utamzibua sasa kama kafikia hapo ujue relay ya kwenye medula oblongata imecheza
 
Unapinga? ukweli umekuingia umekosa la kusema!.., mimi sio mpumbavu kama wewe hujui lolote kazi ni ushabiki uchwara, unaumbuliwa kirahisi rahisi, tunawapa mkopo wa SGR kisa mlikua mmenyimwa na wachina, lipeni deni letu nyambaff 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
ila kwa hapa mzee lazma utakua umeunguza fuse tena lazma itakua fuse ya radiator kaaah aloo 🤣 🤣 🤣 🤣 pesa ya mishahara tu inawatokea puani itakua pesa ya SGR ambayo wachina waliwatia mpaka viboko
 
The Habitat, Upper Hill, Nairobi (23 floors - Under Construction)
Hii ingekuwa Dar is Slum ingekuwa front page.
But in Kenya, 99.99% of Kenyans have never heard of it because we're overwhelmed by all the new constructions.

Ooh, and it's not a government project.

Hab 1.JPG
Hab 2.JPG
Hab 3.JPG
 
ila kwa hapa mzee lazma utakua umeunguza fuse tena lazma itakua fuse ya radiator kaaah aloo 🤣 🤣 🤣 🤣 pesa ya mishahara tu inawatokea puani itakua pesa ya SGR ambayo wachina waliwatia mpaka viboko
Kalilie kwa choo kilaza , unaumwa sana, tutawatafuna tukisaidiwa na wajanja ndani ya serikali yenu, 😝 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
gazeti lenyu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
1692794258374.png

Tazama mnavyo tafunwa..., na deni mtalipa tu ama tutashika ndege kama mkulima wa South Africa alivyo wafanya.., 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
1692794638702.png

1692794653161.png
 
Back
Top Bottom