Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uzuri hakuna bed seaters humo mzee.. ukiskia ni middle class bas ni middle class kweli kila mtu anamiliki mjengo wake mkali tu and that's how we living in Tz. Sio takataka za bed seaters zenye mnapost humu Halaf mnajinasibu kuwa na namba kubwa ya middle class ..wapangaji wa vyumba viwili wanaeza vipi kukaa kwenye sentence moja na wamiliki wa majumba makali ka hayo.? 😂😂😂.
Hii miaka yote bado unajitoa ufahamu?,, Tanzania yoote ikiongozwa na Dar is slum hizi 👇👇ndio standards.., eti middle class, haujui maana ya hilo neno dogo, Tanzania hilo bado ni ndoto kwa wengi, hizi 👇ndio mwanzo na mwisho wa maisha yenu ya kawaida, sio slums, normal standards👇 👇 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 .., uki kana google earth kiboko..,, 80% Dar
1692546093602.png

1692546218475.png

1692546267112.png

1692546447762.png
 
Hii miaka yote bado unajitoa ufahamu?,, Tanzania yoote ikiongozwa na Dar is slum hizi 👇👇ndio standards.., eti middle class, haujui maana ya hilo neno dogo, Tanzania hilo bado ni ndoto kwa wengi, hizi 👇ndio mwanzo na mwisho wa maisha yenu ya kawaida, sio slums, normal standards👇 👇 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 .., uki kana google earth kiboko..,, 80% Dar
View attachment 2723118
View attachment 2723119
View attachment 2723120
View attachment 2723121
In case you don't know.. hii mitaa sio hata 20% ya DAR achana na hiyo 80% unayotaja taja... Karibu 70% of DAR ni maeneo ambayo hayajawahi kuonekana kabisa humu JF .. hiyo mitaa unajifarijigi nayo mostly ni hii hapa:-
Tandale
Some parts of Mwananyamala
Some parts of Magomeni
Mabibo
Vingunuti
Some parts of buguruni
Interior makumbusho
Some parts of keko
Some streets of Kinondoni

Na hayo maeneo yanaonekana zaidi kwasababu yapo karibu na taswira ya mji.. but yo majority of Dar es salaam houses are of this kind kama 50% 👇 ukiachana na magorofa marefu na nyumba zingine za upper middle class or high end
150098a06785adb9bb73887e250198c4.jpg

Kwenye hiyo mitaa ya vingunguti n.k wengi humo ni maskini na wamiliki nyumba zao tu ..
 
In case you don't know.. hii mitaa sio hata 20% ya DAR achana na hiyo 80% unayotaja taja... Karibu 70% of DAR ni maeneo ambayo hayajawahi kuonekana kabisa humu JF .. hiyo mitaa unajifarijigi nayo mostly ni hii hapa:-
Tandale
Some parts of Mwananyamala
Some parts of Magomeni
Mabibo
Vingunuti
Some parts of buguruni
Interior makumbusho
Some parts of keko
Some streets of Kinondoni

Na hayo maeneo yanaonekana zaidi kwasababu yapo karibu na taswira ya mji.. but yo majority of Dar es salaam houses are of this kind kama 50% 👇 ukiachana na magorofa marefu na nyumba zingine za upper middle class or high endView attachment 2723196
Kwenye hiyo mitaa ya vingunguti n.k wengi humo ni maskini na wamiliki nyumba zao tu ..
23,000 pages bado unasema 70% ya dar hamuja onyesha, hii ni maajabu.
 
23,000 pages bado unasema 70% ya dar hamuja onyesha, hii ni maajabu.
Picha zinazowekwa za DSM ni hizo hizo everyday kwahyo kuna maeneo mengi mno hayajawahi kupostiwa humu kabisa. Hata Arusha kuna mitaa ya kishua haswaa lakini hakuna picha za hiyo mitaa humu.. bado tuko na uhaba likija suala la picha.
 
Ona ndege zinavyopendeza lakini bado watu wanataka kuharibu legacy ya Magu, wamefikia mpaka kubadilisha sheria za kulinda maliasili (Magu) alizoziweka ili vizazi vyetu visiwe watumwa.

Samahani The best 007 kwa kuweka siasa kwenye picha yako, nimeshindwa kujizuia, unafiki siuwezi.
Hamna shida mkuu, lengo la hiyo picha ni kukumbusha watu kwamba kulikuwa na chuma kimefanya hayo yote.
 
Back
Top Bottom