Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,944
- 103,829
Acha mara moja wewe nyang'au propaganda za kijinga!Acha propaganda za kijinga mara moja wewe nyang’au😂
Acha mara moja wewe nyang'au propaganda za kijinga!Acha propaganda za kijinga mara moja wewe nyang’au😂
Bandari "imeuzwa" lini?...Shangilia kuuzwa kwa bandari dp world
Eti mtaa wa kifahari 🤣
CCM wanauza Bandari la Dar for $500m kwa muarabu 🤣🤣
View: https://twitter.com/OleMtetezi/status/1692093583241711920?t=_BBQ4RStfAhWieL72qBwOA&s=19
Aliekwambia babdari inauzwa ni nani?? Na lini uliskia serekali imeuza bandari ya dar?🤣CCM ni wajinga pamoja na wafuasi wake wapuuzi kama wewe. Shangilia kuuzwa kwa bandari dp world
Na akikuletea ushahidi kua imeuzwa just tag me 😅😅😅😅😅 hakalali usiku kanawaza tanzania inapiga hatua wao wapo wanatafuta chakulaBandari "imeuzwa" lini?
Usingewastua wapigwe……😅😅Haya matapeli yameenda na Kenya?
Hii Bunju moja yenye barabara zote ni za vumbi hii? 🤣 🤣 🤣 🤣Lang’ata tunaipa Bunju…..😅😅
Ultra modern city bus terminal in mwenge
Sijui kwao kuna mradi gani unaendelea🤣🤣
View: https://twitter.com/thinkbig2025/status/1691807832532824407?t=D1lMWOvzttupja3Evdbwag&s=19
CCM wanauza Bandari la Dar for $500m kwa muarabu 🤣🤣
View: https://twitter.com/OleMtetezi/status/1692093583241711920?t=_BBQ4RStfAhWieL72qBwOA&s=19
Hii Bunju moja yenye barabara zote ni za vumbi hii? 🤣 🤣 🤣 🤣
View: https://www.youtube.com/watch?v=eWstv1b_Nc8
View attachment 2720155
Nani kakwambia Langata kuna bedsitter? Wewe unaijua Langata?Uzuri hakuna bed seaters humo mzee.. ukiskia ni middle class bas ni middle class kweli kila mtu anamiliki mjengo wake mkali tu and that's how we living in Tz. Sio takataka za bed seaters zenye mnapost humu Halaf mnajinasibu kuwa na namba kubwa ya middle class ..wapangaji wa vyumba viwili wanaeza vipi kukaa kwenye sentence moja na wamiliki wa majumba makali ka hayo.? 😂😂😂.