Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Tanzania haijapangwa wanajenga fwaa tu Kama makondoo.Bado wanasema nimeonyesha main roads za Langata. Heheeee
Langata
View attachment 2721619
Mbezi
View attachment 2721621
Hehehee
Ikumbukwe Langata ni Middle Class ya Nairobi na Mbezi ni High Class ya Dar. 🤣 🤣