Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

halafu minjemba imechana kinoma kwa kubeba nondo yaani inaweza kubaka madume straight kwa kulazimisha! Hatari sana hii! Inabidi ma-gym yakataze hawa watu ku-train! La sivyo mambo yanavyoenda ya kulazimizasha hii agenda na West tutakuja kubakwa mitaani.
 
Haya maneno kwa Wakundustan huwa yana maana yao nyingine zaidi ya tunayojua, Jiji ni Standard third world shithole anasema developed kwa kuwa kuna random ugly high rise lipo hapo, ukiangalia Barabara na supporting infrastructure ni mbingu na ardhi, hata mstari kuchora barabarani pajulikane hapa linapita gari hapa anapita binadamu pia shida.
Usafi wenyewe tu wanashindwa ije kudevelop city
Kujiliwaza huwa mnapenda sana, ila kila mtu anayefika hii miji miwili anaadmit Nairobi ipo mbele kimaendeleo kuishinda dar. Hapa jf ni mdomo tu na hekaya mnapenda
 
FB_IMG_16912616864177108.jpg
 
Ukiwauliza "developed in what" kushinda Dar wanapoteana.
Hawa wajinga wanapenda vivumishi qumamaye.
Developed alafu mji hauna world class infrastructure hata moja, no BRT, no cable stayed bridge, no electrified railway, no modern airport, no modern stadium, no any modern facility, then developed city
 
Kujiliwaza huwa mnapenda sana, ila kila mtu anayefika hii miji miwili anaadmit Nairobi ipo mbele kimaendeleo kuishinda dar. Hapa jf ni mdomo tu na hekaya mnapenda
Sisi tunacho cha kuonesha na kujitapa tuna some facility za world class city, nyinyi hamna, so unapata wapi ujasiri wa kuijilinganisha na Tz? Nitajie mna world class facility ipi. Sisi tuna BRT, tuna electrified SGR, tuna modern stadium, tuna modern airport, nyinyi mna nini...
 
ndo tunapoelekea kesi za kubakwa wanaume na midume wenzao zitakuwa nyingi siku za usoni!
Mkuu, duniani ukitaka kuishi kwa amani bila msongo wa maisha ni kutokujihusisha na maisha ya watu wengine, Jenga mipaka ya maisha yako, jambo analofanya mtu asiyekuhusu na wewe lisikuhusu labda Kama linaingia ndani ya mipaka yako ya maisha.

Kama mtu ameamua kuwa Yanga au Simba, CCM au CHADEMA, wewe inakuhusu nini?, Kama vipi na wewe chagua wapi kwa kushabikia, vinginevyo endelea na maisha yako achana na ushabiki wowote kwasababu huna uwezo wa kuwachagulia binadamu wengine nini la kufanya hapa duniani, Kama ambavyo hutokubali mtu yeyote kukuchagulia mfumo wako wa maisha.

Tujaribu kuheshimu maisha ya wengine hata Kama hatukubaliano nayo, wapo ndani ya mipaka ya maisha yao hawajatuingilia.vipi furaha ya wengine ikupe msongo wa mawazo?, Vipi maumivu ya watu wengine yakupe furaha au maumivu na wewe kupita hata wao wenyewe.

Maturity is to realise that others businesses are not your business "
 
Sisi tunacho cha kuonesha na kujitapa tuna some facility za world class city, nyinyi hamna, so unapata wapi ujasiri wa kuijilinganisha na Tz? Nitajie mna world class facility ipi. Sisi tuna BRT, tuna electrified SGR, tuna modern stadium, tuna modern airport, nyinyi mna nini...
Wana slums na madanguro 😅😅😅
 
Lilikuwa ni suala la muda tu.Yaani mtu binafsi aikwamishe serikali kweli

Sijui kwanini miradi mikubwa ya Uwekezaji huwa kunapigwa sarakasi nyingi hivi.

Baada ya muda hawa hawa wapingaji ndio watakaokuwa wa kwanza kutuambia Mama anaupiga mwingi sana.(Huko nyuma walikuwa wanapinga nini?).
 
Mimi nawaambia kwa jinsi hali inavyokwenda hii AFCON tutaandaa pekeetu mark my words, Uganda na kenya hawawezi hii game, ofcoarse hata mm sipendi hii michuano tuandae wote, nataka tuandae pekeetu na uwezo huo tunao. Kauli mbiu ni kwamba AFCON 2027 Tanzania inawezekana.

Ikiwa vinchi maskini kama Ivory coast au Mali vimewahi kuandaa bila kushirikiana na mtu yeyote kwnn nchi tajiri na inayopenda football kama Tanzania isiweze.
Ni kweli kasungura kenyewe kadogo alafu tukagawe vipande vitatu hapana watuachie.
 
Back
Top Bottom