Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi is unfixable wanatamani kweli kuwa kama Dar

20230805_090902.jpg


 
Hakuna nchi Wala mtu yeyote duniani mwenye akili timamu atakayetoa pesa zake kwa ajili ya hii reli.
cc. Gezaulole
Aisee... hapa mama anapaswa kuangalia uwezekano wa SGR Isaka-Masaka-Kampala! Unajua sasa hivi uchumi wa Uganda unaji-orient zaidi na Lake Albert region yaani pande za Hoima! Si mbaya tukianza mkakati upande huo maana kwa sasa Hoima ndio sehemu iliyo-busy zaidi na ujenzi huko Uganda!
 
Aisee... hapa mama anapaswa kuangalia uwezekano wa SGR Isaka-Masaka-Kampala! Unajua sasa hivi uchumi wa Uganda unaji-orient zaidi na Lake Albert region yaani pande za Hoima! Si mbaya tukianza mkakati upande huo maana kwa sasa Hoima ndio sehemu iliyo-busy zaidi na ujenzi huko Uganda!
Unazungumza Kama vile upo ndani ya ubongo wa M7, huko ndiko anakowaza Museven, mama anachohitajika kufanya ni kuwa "assertive" kidogo tu kumshawishi M7 Kama tulivyofanya katika Bomba la mafuta, hakuna jinsi ambavyo Uganda wataunganisha SGR na Kenya, yaani hiyo haipo kabisa.
 
Back
Top Bottom