Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nini kinatendeka hapa
IMG_20230801_201915.JPG
 
BRT ya kimara hadi kibaha hakutakuwa na structure kubwa ya kituo katikat ya barabara.. bali kutakuwa na hio standing/boarding platform hio iliyopo katikat ili watu wapande kwenye mabus. Kila palipo na kituo barabara ya kawaida, kuna hio platform ya BRT. Thou, It is the worst and dangerous design
 
BRT ya kimara hadi kibaha hakutakuwa na structure kubwa ya kituo katikat ya barabara.. bali kutakuwa na hio standing/boarding platform hio iliyopo katikat ili watu wapande kwenye mabus. Kila palipo na kituo barabara ya kawaida, kuna hio platform ya BRT. Thou, It is the worst and dangerous design
Waache ujinga, waweke footbridge alafu katikati waweke ngazi abiria wanaopanda washuke kwenye ngazi waingie kwenye basi na wanaoshuka wapande ngazi waondoke kupitia bridge.
 
BRT ya kimara hadi kibaha hakutakuwa na structure kubwa ya kituo katikat ya barabara.. bali kutakuwa na hio standing/boarding platform hio iliyopo katikat ili watu wapande kwenye mabus. Kila palipo na kituo barabara ya kawaida, kuna hio platform ya BRT. Thou, It is the worst and dangerous design
Kwanini wasifanye lane za pembeni zilizo karibu na kituo ndo ziwe za BRT alfu lane zote zingine including za kati ziwe za magar, za kati infact zinaweza kuwa za express cars zisizo hitaji kukatisha from Kimara to Kibaha
 
Back
Top Bottom