Hatuwezi kuzindua jezi mlimani mkuu, huo ni upungufu wa akili, timu gani umewahi kuona wanazindua jezi mlimani? Ni vile Simba inatafuta njia ya kwenda sambamba na Yanga kwa zama hizi za kina Hersi, mkuu hizi zama Yanga itasumbua sn na kwakifupi tu Yanga haishindani na timu yoyote hapa Tz, iko mbali sn, Yanga tumeshafikia level za kuuza mchezaji kwa $1...m hiyo siyo level za East and Central Africa kaka, mtuvumilie kwa ss, sisi tushatoka huko kwenye comedian football [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]