Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa washamba wanashinda mitandaoni kuandika utumbo wakati ndugu zao wameng'ang'ania huku hawataki kurudi kwao huko halafu wanajidai kuna maisha mazuri! Yaani ukiwasoma hawa jamaa humu unaweza ukafikiri Nairobi ni kama New York fulani vile kumbe ni typical third world city!
sio tu typical thirld world city pia ni slums city world wide😀😀😀😀😀😀
 
without makeup....lol.
e94658ff252050138d2551727da721dc.jpg
Wewe unapiga picha na simu ya tzsh 22000 unategemea image quality gani???
 
hiyo picha ni mtu wenu alipiga.....virgin photo without makeup......ndinda ataipaka makeup usiogope
I don't do make up or apply any filters to the photo, SHOW me one Photo with filters from me.
 
Nairobi airport mliweza...
Zile slums zenu maarufu siku mkiweza upgrades basi hii battle mtakua mmeshinda
 
Mtaachana lini na huu usafiri? Madoido mengi sana quality mbovu...

Yafaa mue na usafiri unaoeleweka huu sio...even SA Hutumia hiace tu Au scania buses yani apo Hamna sijaelewa
Scania pia tunazo bila doido. Nganya ni magari ya mwendo fupi. Na wivu utaacha aisee. Unasema nikupee picha quality ilhali hutaki doido. 🙄🙄
 
Watanzania iko wapi sky crapper? Subiri zajengwa
Watanzania iko wapi terminal? Subiri zajengwa
Watanzania ziko wapi overpass? Tuna moja lakini zingine zajengwa.
Haya basi mutuite tujadili zikikamilika.
 
Hapo ni Uswazi kweli...ila ukisema middle class ina maana hata hujui maana ya middle class! Hapa kulinganisha na ile slum yenu si unaweza kuita peponi?!!
tumeomba aerial view ya middle class yenu mkashindwa kabisaa. ...sasa by ldc standards hao ndio middle class ingali mtawakana kama Judas....hahaha
d67d2e0e26d5c7c67614ba385b5c1d06.jpg
53f1c121ab55587ac990fcb5188443e8.jpg
16afaf53cd8b3a1ca692a1be8710341d.jpg
e2f6e9da66d4753bb2045cceddfb357a.jpg
 
Back
Top Bottom