Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ninyi mjifunze kujilisha kwanza muondokane na aibu your whole president & minister are begging for exit permission from our deputy minister, hata hivyo mtakua mnashangaa sana watanzania wanajulikana kupenda anasa sana huwakosi kwenye maharusi, burudani, mipira daily lakini bado wanapata muda wa kufanya kazi na kulisha nchi 8 na export kubwa overseas, ninyi ambao hampo kwenye anasa hata kujilisha wenyewe tu shida asa muda wote huwa mna fanya shughuli gani?


😅😅😅😅
 
Ninyi mjifunze kujilisha kwanza muondokane na aibu your whole president & minister are begging for exit permission from our deputy minister, hata hivyo mtakua mnashangaa sana watanzania wanajulikana kupenda anasa sana huwakosi kwenye maharusi, burudani, mipira daily lakini bado wanapata muda wa kufanya kazi na kulisha nchi 8 na export kubwa overseas, ninyi ambao hampo kwenye anasa hata kujilisha wenyewe tu shida asa muda wote huwa mna fanya shughuli gani?

Wanakuambia wao wanafanya sana kazi, sasa hizo sijui wanafanya bure mana njaa haijawahi kuwatoka since uhuru.
 
Wacha kutupeleka refurbishment ingezingatia yaliyokosekana!
Huwezi kupata vyote duniani, lazima uangalie nini ni muhimu kwako, katika behewa za ghorofa muhimu zaidi ni capacity na low maintenance cost per capital". Kwenye biashara kitu muhimu Cha kuzingatia ni " Return ratio", yaani uweano wa uwekezaji vs kiwango kinachopatikana.
 
Huwezi kujifanya mbabe na una njaa, this love letter Inaonesha namna mashakahola yalivyonywea, cha ajabu ni kwamba hawampersonalize Samia na huu utaratibu kama walivyokua wanafanya kwa JPM it was too much feelings and emotions, mpaka wame attach link kabisa wamekua kama flower girls wa GoT

Hivi Tanzania kuna sector yoyote tunaweza kuletwa on our knees na shakahola kiasi hiki?

View attachment 2653323
Wengi wameshakubali kwamba Tanzania ndiye baba ukanda huu
 
Inashangaza kiukweli na bado percent kubwa ya maisha yao wanayaendesha kwa nguvu ya remittance, ukijiuliza local mashakahola yanafanya kazi ipi zaidi ya kupigana miti mpaka kwenye public parks kama ngedere utaumia ubongo
Hujaona traffic police wao wanapigana miti hadi kichakani wakiwa na uniform huku wakikamata magari barabarani.
 
Back
Top Bottom