Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee achana na Arusha kabisa in yo mind, Arusha inaweza simama na Mombasa na ikaikalisha pia, hii umeweka hapa ni taka tu
What you are writing only exists in your head....Mombasa is more developed than daresalaam for a fact
 
Mkuu, umesema mkataba ni euro 26M jumla, hiyo maana yake ni gharama zote za ununuzi na ukarabati, Kama unahisi Kuna pesa zaidi ya hiyo iliyotolewa, tuambie tujue Ili tulinganishe "value for money". Kama unaijua sababu iliyosababisha mkataba kuvunjwa zaidi ya hiyo iliyotajwa na serikali, tuambie Ili na sisi tulalamike.https://youtu.be/1SjflTcdhac

Mkuu, TV zipo ndani. Kwa uzuri wa mabehewa haya bado unalalamika, ulitakaje?

TV ziko wapi, nioneshe. Miaka hii behewa halina hata sehemu ya kucharge. TV ziko wapo, wakati kuna nyaya za umeme zinaninginia screen za kuonesha location zimeng'olewa. Wewe unafikiri sisi washamba hatuzijui hizi vyema?
 
Two Rivers vibez!!
Screenshot_2023-06-10-13-36-47-27_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-06-10-13-36-33-47_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-06-10-13-36-31-08_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-06-10-13-36-27-27_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-06-10-13-35-46-74_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
 
Hehe....this overrated town I love YouTube.....I knew the vituko had to be there


 
Ni ajabu sana jambo zuri .. ishu ya Tanzania na Dubai iliyojadiliwa leo bungen haijapostiwa chochote humu. Dadek 😅
Kwasababu hatujui tunaenda kupigwa au tunaenda kupata izo faida lukuki alizoziainisha waziri kwaiyo hatujui tufurahie au tu huzunike
 
One ticket was TSH 700,000....ingekuwa daresalaam ingekuwa a failed concert View attachment 2652988
Tushaachana na hayo mambo kitambo mzee, Watz wanapenda mziki wao sana, weka Boyz II Men hapa alafu kule weka Marioo uone kama Boyz II Men watapata watu. Tuko hivyo yani, tunajali vyetu. Mpaka soka ni hivyo hivyo, tunapenda soka letu kuliko soka la nje, that's bcz we are not slaves like u dumbs.
 
Tushaachana na hayo mambo kitambo mzee, Watz wanapenda mziki wao sana, weka Boyz II Men hapa alafu kule weka Marioo uone kama Boyz II Men watapata watu. Tuko hivyo yani, tunajali vyetu. Mpaka soka ni hivyo hivyo, tunapenda soka letu kuliko soka la nje, that's bcz we are not slaves like u dumbs.

Wakunya ni kondoo, they can’t support wasanii wao, kazi ni kushoboka na wasanii wa nchi zingine.
 
TV ziko wapi, nioneshe. Miaka hii behewa halina hata sehemu ya kucharge. TV ziko wapo, wakati kuna nyaya za umeme zinaninginia screen za kuonesha location zimeng'olewa. Wewe unafikiri sisi washamba hatuzijui hizi vyema?
Mkuu, nimekuwekea hiyo video huyo kaimu mkurugenzi anasema kutakua na TV, sidhani Kama anadanganya.

Ila mkuu, kwa pesa hiyo ya euro 27M, kwa idadi hiyo ya mabehewa hayo na vichwa viwili, hilo ni deal zuri kuliko hata hayo mabehewa toka Korea, hata bila kuwepo kwa TV ndani.
 
Hehe....this overrated town I love YouTube.....I knew the vituko had to be there



🤣🤣🤣 Mzee hii video ime cover mtaa mmoja tu Arusha ambapo hata si City center .. kwahyo ndio unatumia kujifariji.? 👇 Unajua hii kuwa ni Arusha city Iko na Mitaa minne yenye maana.? 1. Uzunguni hii👇
3038285_E8vvsMGWQAQVjDx.jpeg
goldcrest_hotel_arusha-20230419-0001.jpg
.. Chuga City center 👇
arusha(0).jpg
1000_F_472967043_RPTOU6rwrfpJGwAm99sTXMG5NTEhlLKg(0).jpg
354053597.jpg
halafu kunahiyo mitaa ya mianzini hadi Philips 👇
michaelsolomonkipuyo_1685296867638727.jpg
3039410_IMG_2338.jpg
IMG_20230608_170836.jpg
Halafu tuko na mtaa ambao mimi napenda kuita ni administrative street.. where East Africa's HQ is 👇+ regional office and district office and many more offices.. hapa ni kama niseme ni Arusha's financial district
Screenshot_20230610-221949_1.jpg
.. mjomba Arusha ni proper city wacha mchezo
 
Back
Top Bottom