What you are writing only exists in your head....Mombasa is more developed than daresalaam for a factMzee achana na Arusha kabisa in yo mind, Arusha inaweza simama na Mombasa na ikaikalisha pia, hii umeweka hapa ni taka tu
What you are writing only exists in your head....Mombasa is more developed than daresalaam for a factMzee achana na Arusha kabisa in yo mind, Arusha inaweza simama na Mombasa na ikaikalisha pia, hii umeweka hapa ni taka tu
Mkuu, umesema mkataba ni euro 26M jumla, hiyo maana yake ni gharama zote za ununuzi na ukarabati, Kama unahisi Kuna pesa zaidi ya hiyo iliyotolewa, tuambie tujue Ili tulinganishe "value for money". Kama unaijua sababu iliyosababisha mkataba kuvunjwa zaidi ya hiyo iliyotajwa na serikali, tuambie Ili na sisi tulalamike.https://youtu.be/1SjflTcdhac
Mkuu, TV zipo ndani. Kwa uzuri wa mabehewa haya bado unalalamika, ulitakaje?
🤣🤣🤣. U must be crazy.What you are writing only exists in your head....Mombasa is more developed than daresalaam for a fact
Sio "Halam" ni HaramThanks for asking…… she even grabbed his hand… a married Muslim woman….. si halam?…🤣🤣View attachment 2652945
I know this defeated punchline of yours when you have no rebuttal....how sadHizi gorofa ni za udongo
Kwasababu hatujui tunaenda kupigwa au tunaenda kupata izo faida lukuki alizoziainisha waziri kwaiyo hatujui tufurahie au tu huzunikeNi ajabu sana jambo zuri .. ishu ya Tanzania na Dubai iliyojadiliwa leo bungen haijapostiwa chochote humu. Dadek 😅
Huyo Kipchogo si unaona kabisa anajipendekeza hapo? Tena bahati yake ametambulishwa na Uhuru.Thanks for asking…… she even grabbed his hand… a married Muslim woman….. si halam?…🤣🤣View attachment 2652945
Huyo uliyemtaja umemtoa wapi?Wako wapi… wacha uongo!..![]()
Tushaachana na hayo mambo kitambo mzee, Watz wanapenda mziki wao sana, weka Boyz II Men hapa alafu kule weka Marioo uone kama Boyz II Men watapata watu. Tuko hivyo yani, tunajali vyetu. Mpaka soka ni hivyo hivyo, tunapenda soka letu kuliko soka la nje, that's bcz we are not slaves like u dumbs.One ticket was TSH 700,000....ingekuwa daresalaam ingekuwa a failed concert View attachment 2652988
Tushaachana na hayo mambo kitambo mzee, Watz wanapenda mziki wao sana, weka Boyz II Men hapa alafu kule weka Marioo uone kama Boyz II Men watapata watu. Tuko hivyo yani, tunajali vyetu. Mpaka soka ni hivyo hivyo, tunapenda soka letu kuliko soka la nje, that's bcz we are not slaves like u dumbs.
Tushaachana na huu ushamba na shobo kwa western people....One ticket was TSH 700,000....ingekuwa daresalaam ingekuwa a failed concert View attachment 2652988
Mkuu, nimekuwekea hiyo video huyo kaimu mkurugenzi anasema kutakua na TV, sidhani Kama anadanganya.TV ziko wapi, nioneshe. Miaka hii behewa halina hata sehemu ya kucharge. TV ziko wapo, wakati kuna nyaya za umeme zinaninginia screen za kuonesha location zimeng'olewa. Wewe unafikiri sisi washamba hatuzijui hizi vyema?
Hehe....this overrated town I love YouTube.....I knew the vituko had to be there