Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa maisha magumu 😅😅😅
Pesa ya matatu watu hawana
 
Hii habari, nilianza kusikia jana.. nilitaka kuuliza humu nikaona ngoja nisubir kidogo kwanza
Nasubir kusikia comments za design hii 'wapewe tu maana TPA hamna kitu kule. Kwanza wamenicheleweshea kutoa gari yangu zaid ya mwaka sasa'
 
Hii habari, nilianza kusikia jana.. nilitaka kuuliza humu nikaona ngoja nisubir kidogo kwanza
Nasubir kusikia comments za design hii 'wapewe tu maana TPA hamna kitu kule. Kwanza wamenicheleweshea kutoa gari yangu zaid ya mwaka sasa'
CHADEMA Kama kawaida Yao, wameanza kupinga.
 
Why Nairobi and not Turkana, Samburu, Kajiado and Kilifi, can't Nairobi parents feed their kids?
Most counties have a school feeding program. This is unique because food will be distributed from one place to the different schools. And then its not a national government initiative, its a county government project. Every county has its priorities
 
Most counties have a school feeding program. This is unique because food will be distributed from one place to the different schools. And then its not a national government initiative, its a county government project. Every county has its priorities
Huu upumbavu wenu wa county utawaumiza sn, mpk mje kustuka mtakuwa hoi.
 
Most counties have a school feeding program. This is unique because food will be distributed from one place to the different schools. And then its not a national government initiative, its a county government project. Every county has its priorities
You can't separate National and County governments, both get their revenues from taxing Kenyans, it is the responsibility of National government to coordinate counties to deliver to Kenyans.

My question is that, why Nairobi county introduces school feeding program while parents can feed their children?, do you understand the concept of school feeding programs?. Have you ever seen any rich cities with government sponsored school feed programs?.
 
Back
Top Bottom