Mkuu hujatupa matokeo ya Yanga.. naona unatiririka tu na mapicha.. 😎
Yanga tunaenda kumaliza mechi algeria bro shika maneno yangu, wale waarabu team ni yakawaida sana na inafungika bila shida 👍Mkuu hujatupa matokeo ya Yanga.. naona unatiririka tu na mapicha.. 😎
Arusha ni yamoto mnoo 🔥🔥🔥
Naweka 50/50.. leo mmefeliwa na mvua na hali ya uwanja kutelezateleza.. adui alijiandaa na hali yoyote. Nyie hamkujiandaa na ishu ya mvua au uwanja kuteleza. Ila mpira mlipiga fresh 100%Yanga tunaenda kumaliza mechi algeria bro shika maneno yangu, wale waarabu team ni yakawaida sana na inafungika bila shida 👍
Pole leo mmekufa kiume lakiniNipo uwanjani![]()

Hata Arusha ni pazuri kuliko KanairoView attachment 2637838View attachment 2637841
View attachment 2637842
Lile goli la pili la kizembe sana, tulikuwa tunaenda kuwapasua kule kule mbwa wale.Yanga tunaenda kumaliza mechi algeria bro shika maneno yangu, wale waarabu team ni yakawaida sana na inafungika bila shida![]()