Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenol - Marua Highway
FwkjFzUXwAE8IsY.jpeg
 
"Saa chache zilizopita"
Safari za mwisho za ukaguzi (functional check) ya ndege ya mizigo "Air Tanzania Cargo" aina ya #Boeing767 5H-TCO kutoka uwanja wa ndege wa kiwanda cha Boeing #PaineField.

Mkakati wa kusafirishwa hadi Uwanja wa Ndege wa GMTT (Tang Ibn Battouta-Morocco) imeratibiwa kufanywa Mei 31.
Kumbuka Ndege iliyoundwa maalumu kwa kupakia Mizigo huwa hazina madirisha tofauti na yale ya mbele kwa rubani.

Chanzo:



Paine Field
FB_IMG_1684917018321.jpg
 
"Saa chache zilizopita"
Safari za mwisho za ukaguzi (functional check) ya ndege ya mizigo "Air Tanzania Cargo" aina ya #Boeing767 5H-TCO kutoka uwanja wa ndege wa kiwanda cha Boeing #PaineField.

Mkakati wa kusafirishwa hadi Uwanja wa Ndege wa GMTT (Tang Ibn Battouta-Morocco) imeratibiwa kufanywa Mei 31.
Kumbuka Ndege iliyoundwa maalumu kwa kupakia Mizigo huwa hazina madirisha tofauti na yale ya mbele kwa rubani.

Chanzo:



Paine FieldView attachment 2633195
Marubani wameondoka jana usiku kuichukua ndege akiwemo yule rubani wa kike.
 
Signs of a failed country ni mambo positive ya nchi ndio iko mitandaoni kila mahali na kusifu serikali kwa kila kitu kama North Korea.
Ata America don't have 100% positive news kwa media zao and its the most developed country on earth, lazima kuwe na mashida
USA is not our role model, we are not slaves like you. We have our own way of life. The truth of the matter is that "You have nothing to celebrate".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania mnaharibu huu uzi, mtabaki huku pekee yenu mkijiongelesha. Unaingia uzi kutoka juu hadi chini hamna picha za dar ni matweet tu za ichoboy na joto na maneno tupu na porojo
Wacha kulia lia, picha zinawekwa kila siku na ni mpya, tofauti na nyie daily mnapost xpress way na GTC, kama mnataka kukimbia uzi kimbieni mana ndicho tunachotaka hicho ili tubaki pekeetu tupeane vitasa wkt nyie mnachungulia kwa mbali.
 
Danganyika na Uchawi ni kama chada na pete.
No danganyikan media House has reported this, news zote hadi hapa jamii forums ni sifa kwa CCM pekee 🤣
🤣
Screenshot_20230524_121922.jpg
 
Wanapost too much unnecessary news na tweets za kusifu CCM hadi wakijengewa choo kwa zahanati. Its a sign of a dictatorial country. Ata unaweza fikiria Tanzania hakunanga ajalai au kifo
Kwani hakuna wakenya wanaoishi Tanzania?, wajitokeze waeleze Kama huku Kuna ujinga au watu kufariki hovyo Kama huko kwenu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom