Filaria
JF-Expert Member
- Jun 28, 2021
- 768
- 2,119
Hii kali😅Typical of failed state.View attachment 2626969
Hii kali😅Typical of failed state.View attachment 2626969
Brian the best rapper in Africa by far.Kaligraph hajulikani Tanzania, sidhani Kama alishawahi kupiga show Bongo
Wakenya ni watu wa ajabu Sana, wao wanasema wamefanya kazi vizuri, lakini wahusika wanasema hakuna kitu KDF imefanya katika kuwaletea amani DRC . Swali la kujiuliza ni kwamba inawezekanaje mtu aliyepewa kazi anajipangia anajifanyia mwenyewe "evaluation?".
Hafadhali Saut soul wanajulikana na huwa wanakuja kupiga show, japo watu hawaingii kwa wingi, lakini Kaligraph huku Tanzania hakuna mtu anayeshabikia mziki wake. Onyesha lini alikuja kupiga show Bongo?Brian the best rapper in Africa by far.
Young tanzanians(youths) wanamtambua sana, wewe ni Mzee huwezi.
Sikiliza hao KDF katika hii clip wanasema eti wamefanya kazi vizuri wakati wananchi wanasema hakuna kitu KDF imefanya.Ina maana huwa unamsikiliza yule kondoo humu?
Sikiliza hao KDF katika hii clip wanasema eti wamefanya kazi vizuri wakati wananchi wanasema hakuna kitu KDF imefanya.
Nangoja comeback 🤣🤣Ase nimecheka sana mashashola na wewe unataka nkupe spana tulia DOGO...
🔥🔥🔥
Do you even have special forces… ama ni Zile that carry firewood on their back kwa sherehe hapo stadium…..😂😂😂😂😂😂😂Nimecheka karibia nidondoke kwenye kiti eti our special forces [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwnn unafosi mambo, huyo mtu hajulikani huku, wasanii wa Kenya huku Bongo hawajulikani na sio tu kujulikana bali pia hatusikilizi kabisa mziki wenu.Brian the best rapper in Africa by far.
Young tanzanians(youths) wanamtambua sana, wewe ni Mzee huwezi.
KDF didn't take Goma, actually M23 didn't surrender any territory, instead they are still collecting taxes from those areas which surrendered to KDF and UPDF, listen carefully
Na yule mwingine anaitwa kimbg nafikiri ni wewe mwenyewe, majina yenu na comments zenu zinaniboa sn.Do you even have special forces… ama ni Zile that carry firewood on their back kwa sherehe hapo stadium…..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Iringa 🔥🔥🔥
Km 34 za lami Vijijini zinaanza kujengwa mwaka huu 2023/24.
View attachment 2627295View attachment 2627296View attachment 2627297View attachment 2627298View attachment 2627299View attachment 2627300View attachment 2627301View attachment 2627302
Best 007… kwani unaniogopa…. i missed your presence!… Psych!…… I don’t know no Kimbg…. Am based in the States…. So if you ever visit America 🇺🇸 one day… holla at me…. I like to be nice to you since I might fly to Zanzibar this Christmas via JNIA and I heard you are Airport security… I need my luggage safe….🤣🤣🤣🤣🤣Na yule mwingine anaitwa kimbg nafikiri ni wewe mwenyewe, majina yenu na comments zenu zinaniboa sn.
Thika Nyeri ni highway ya kwenda wapi? This is Tanzam HighwayNobody cares about single roads nomore…. Show us the likes of Thika Nyeri Highway… or forever hold your peace…😂😂😂😂🤣
You must have been living under a rock all this time..😂😂😂😂😂Thika Nyeri ni highway ya kwenda wapi? This is Tanzam Highway
Tutaendelea kuwanyea Hadi mkimbie jukwaa..You must have been living under a rock all this time..😂😂😂😂😂