Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Iringa 🔥🔥🔥
Km 34 za lami Vijijini zinaanza kujengwa mwaka huu 2023/24.

tarura_tanzania_1684480063427996.jpg
tarura_tanzania_1684480063427160.jpg
tarura_tanzania_1684480063427865.jpg
tarura_tanzania_1684480063427520.jpg
tarura_tanzania_1684480063427901.jpg
tarura_tanzania_1684480063427929.jpg
tarura_tanzania_1684480063427849.jpg
tarura_tanzania_1684480063427182.jpg
 
Wakenya ni watu wa ajabu Sana, wao wanasema wamefanya kazi vizuri, lakini wahusika wanasema hakuna kitu KDF imefanya katika kuwaletea amani DRC . Swali la kujiuliza ni kwamba inawezekanaje mtu aliyepewa kazi anajipangia anajifanyia mwenyewe "evaluation?".
 
Level za khaligraph ni hawa watoto wadogo kwa huku Tz tena khaligraph hamgusi huyu dogo



Huku nako ni mob




HUyu Yuko down sana,
Ndio maana Kenya hajulikani kabisa!
Ndio namsikia leo.
Anaimba kama marapper wa 1995!
Very old school.
 
Back
Top Bottom