Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mikocheni Dar es Salaam
IMG_1601.jpg
 
Gongelea msumari kwa kumwamhia ni concrete hio ili ajue maana wanawaza unga tu 😆😆😆😆
Hao jamaa we north wanaona ujanja kinoma kuwa na hizo pavements kando ya barabara ilihali huku Bongo zipo kila mahali .. mji wa serikali pekee wenye barabara km 51 barabara zote ziko na pavements pembeni ..
 
IMG_3534.jpg

Angalau huu uwanja unatufichia aibu hapa Africa mashariki. We need to up our game , seriously ,
Imagine 2023 watu wanajenga hii kitu kisha wanaita international stadium
IMG_0231.jpg



Atleast Uganda they are trying with this

IMG_3550.jpg
 
Hao jamaa we north wanaona ujanja kinoma kuwa na hizo pavements kando ya barabara ilihali huku Bongo zipo kila mahali .. mji wa serikali pekee wenye barabara km 51 barabara zote ziko na pavements pembeni ..
Wao wamekariri maendeleo ni nairobi tu ukitoka nje ya nairobi hakuna hata mradi mmoja unaoendelea nje ya nairobi ni ushuzi mtupu ww muulize nje ya nairobi kuna mradi gani unaendelea kama watakujibu 😆😆😆
 
Kuna tukio la coronation of UK's King
Sisi inatuhusu nini hiyo coronation hata rais wetu apoteze pesa zetu?, huyu mama yupo na tatizo la kupenda kuzurura Sana.

Viongozi wa Africa wengi bado ni submissive Sana kwa wazungu, Rwanda zaidi ya watu 200 wamekufa kwa mafuriko, Leo ndio ilikua siku ya mazishi kitaifa, Kagame kaacha kushughulika na tatizo linalowakuta watu wake, Yuko huko Uingereza na mkewe, hovyo sana Africa.
 
Back
Top Bottom