Amari
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 974
- 2,144
Hahahah dahHivi hii huwa ni unga huu huu wa Ugali au unga gani ?
Maisha ni kitu cha ajabu sana. Kuna haja ya kutoa shukrani Kwa Mwenyezi kila siku kuwa ndani ya Nchi barikiwa kama Tanzania.
Hahahah dahHivi hii huwa ni unga huu huu wa Ugali au unga gani ?
Nzuri kuliko ya Chuga.View attachment 2606545
BOT Mtwara
Kuhusu nn mkuu?Nafkiri umeanza kuamini nilichokua nakwambia![]()
Nchi imekua ngumu kwake 🤣🤣Kuhusu nn mkuu?
Kakonda sana aisee.Nchi imekua ngumu kwake![]()
Wakenya, hii kweli ni Kenya au huyu jamaa anatudanganya?
HatariWaliingia Drc kwa mbwebwe sasa wanatoka kama kenge walionyeshewa na mvua




Tangu nmeanza kuijua Kenya mwaka 2015 nmegundua Kenya haiifikii Tz hata robo, yani haiifikii Tz kabisa huu ndiyo ukweli hata Wakenya wanajua, kilichokuwa kinawapa jeuri ni vile vibarabara viwili vya mduara ambavyo navyo ni jua kali type, na vi estate nzee vyenye bati nyekundu juu, lkn kwa ss tuko juu yao kivyote mpk wanaona uvivu hata ku battle.Wakenya, hii kweli ni Kenya au huyu jamaa anatudanganya?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
We jamaa unavyoipenda Dar, unaweza hata kurusha ngumi ukisikia mtu anaipondea hadharani……….😅😅Tangu nmeanza kuijua Kenya mwaka 2015 nmegundua Kenya haiifikii Tz hata robo, yani haiifikii Tz kabisa huu ndiyo ukweli hata Wakenya wanajua, kilichokuwa kinawapa jeuri ni vile vibarabara viwili vya mduara ambavyo navyo ni jua kali type, na vi estate nzee vyenye bati nyekundu juu, lkn kwa ss tuko juu yao kivyote mpk wanaona uvivu hata ku battle.
Dar baba laoWe jamaa unavyoipenda Dar, unaweza hata kurusha ngumi ukisikia mtu anaipondea hadharani……….
#DarHardicalBeliver
Unaidai Sana Dar……![]()





Tunaenda na pivot irrigation technology kwenye uzalishaji tunaachana na kilimo cha kamari kama wakunya
Huku Wakunya hamfiki
View attachment 2605841