Waliingia Drc kwa mbwebwe sasa wanatoka kama kenge walionyeshewa na mvuaHawa wajinga walipost hadi kuonyesha namna kdf ilivyosaidia kubeba mizigo ya raia lkn wapiii
Asec MimosasBaada ya Pyramid kutolewa, sioni wa kumzuia Yanga kubeba hii kombe la CAFCC. Congrats in advance 😅
Next round
Semi Final 1: Yanga SC vs Marumo FC
Vs
Semi Final 2: Asec Mimosas vs (ASFAR/USM Alger)View attachment 2605435
duh aisee inasikitisha sana ila kuna mkono wa mtuJamaa alikuwa mshikaji wangu, nilikutana naye pale NAOT siku za nyuma kdg, cku anaenda Cameroon nilipiga naye story mbili tatu akasema atarudi mwezi wa nne nikaenda counter ya check in nikamuombea seat nzr, alisafiri na ET. Juzi kati nakutana na mdogo wake pale pale airport ananiambia Geoff amefariki ghafla kwamba alipotoka kula akaanguka mlangoni na kufa papo hapo, iliniuma sana, contacts zake na chatting zake nmefuta juzi aisee, mambo mengine tuyaache kama yalivyo yanachanganya sn.
GDP imeshindwa kucover hii aibu
😂😂😂😂😂😂 wameambiwa hawana chakula kingine, spaghetti hupewa man of the match as a trophy kwenye tournaments zao 😂😂😂😂 usiombe 'nshomile' akudharau 🤣🤣🤣🤣Hivi hii huwa ni unga huu huu wa Ugali au unga gani ?
Dah wanasaga pumba ili wapate unga wa ugali, hii ni noma sana aisee.wameambiwa hawana chakula kingine, spaghetti hupewa man of the match as a trophy kwenye tournaments zao
usiombe 'nshomile' akudharau
Nafkiri umeanza kuamini nilichokua nakwambia 😆😆😆