😂😂😂😂.Kuna ujinga flani walitaka kutuingiza vichwani mwetu juzi juzi tu hapa kwamba wao ni special sana kwenye ukanda huu! Hamna lolote!Falamagamba!!!.Pwagu na Pwaguzi.Mbona hata sasa wanapiga magoti tuwapelekee bomba la gesi wapate ahueni kwenye energy cost pamoja na dollar crunch na pia juzi tumeona wakiitolea mimacho ya kinyangau 767 freighter
Mashashola acha kuvuta bangi mbichi wakati wa jua kali mbona baadhi ya picha, maeneo unayopost machafu hivyo hivi we mwenyewe huoni kweli?!Green-nets kila mahali.. Eastleigh AKA 'little mogadishu' is coming up very fast.
View attachment 2600634
View attachment 2600636View attachment 2600640View attachment 2600643View attachment 2600644View attachment 2600642
Either ni kuchafu au sio kuchafu bado inabaki kua Eastleigh NairobiMashashola acha kuvuta bangi mbichi wakati wa jua kali mbona baadhi ya picha, maeneo unayopost machafu hivyo hivi we mwenyewe huoni kweli?!
CCM chama kimoja tangu independence. Magufala kuua watu. No freedom of speech kuua upinzani... Tanzania ni jehanamuWajinga Fulani wanakaa tu kutafuta watu wenye furaha.Hakuna watu wasio na furaha kwa ssa kama Ulaya kutokana ukorofi wa Putin
Peleka ujinga Nairobi haina cha maana zaidi ya substandard roads n buildings, insecurity, heaps of mulls, water scarcity, cholera n hunger!Tanzania humu ndani have no idea what Nairobi is. They heard of Kibera and that is what they run to always.
However Nairobi has over 21 World class hoods that have no difference to any city in the world.
Look at this example.
As much as Nairobi has some downside, it has also the best in Africa
View attachment 2601039
Residential area in Nairobi. Any better from DAR!?Peleka ujinga Nairobi haina cha maana zaidi ya substandard roads, heaps of mulls, water scarcity, cholera n hunger!
Tanzania humu ndani have no idea what Nairobi is. They heard of Kibera and that is what they run to always.
However Nairobi has over 21 World class hoods that have no difference to any city in the world.
Look at this example.
As much as Nairobi has some downside, it has also the best in Africa
View attachment 2601039
Kijana miaka 21 tayar alishanunua BMW X6 in 2018 kwa wenzetu huko wanakaa na njaa mpaka wafe 😆😆😆
Kwani kibera iko dunia ya nne au iko hapo nairobi yanii maneno yako yote hayabadilishi kua kibera ndio the largest and worse slum on planet haiwez badilika 😆Tanzania humu ndani have no idea what Nairobi is. They heard of Kibera and that is what they run to always.
However Nairobi has over 21 World class hoods that have no difference to any city in the world.
Look at this example.
As much as Nairobi has some downside, it has also the best in Africa
View attachment 2601039
Miaka 15 mpaka leo hata haijulikani munajenga nini another white 🐘🤣🤣🤣 hata 1% of its render hamujafikia badoSoil sampling in preparation for the construction of 15 projects in Konza.
Konza is 13 years old. Dodoma is over 70 years old
View attachment 2601043View attachment 2601044View attachment 2601046View attachment 2601051View attachment 2601052
Mukiambiwa ukweli munakua wakali hvi kati ya mkenya na mtanzania nani anapemda sifa? Tena sifa za uongo ndio urithi mlioachiwanna kenyatta 😆😆😆😆Ghana Nigeria south Africa pekee ndio wako juu yetu kwa online Trading.
Wewe endelea kusifu amateurs.