Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ficha ujinga wako, nchi yoyote yenye technologia iliyoendelea lazima ionekane katika kuzalishia bidhaa kwa bei nafuu, hiyo ndio kipimo maendeleo ya "technologia", factor ya Kodi ni ndogo Sana katika kusababisha bidhaa zinazozalishwa nchini kuwa ghali.

Nchi za Ulaya zonashindwa na china kwasababu "Costs of production in China are lower because of cheap labour, cheap availability of raw materials and very simple technology used to produce goods, issue ya Kodi sio mojawapo inayosababisha Ulaya kushindwa na China.
Mpe shule huyo, tax ingekuwa main factor zile nchi zenye tax haven ndio zingekuwa world’s production house. Wataalamu wa uchumi wanakwambia tax incentives sio kigezo cha muhimu sana kwenye FDI, kama huna technology, power, labour, market and infrastructures za kueleweka basi hata uweke 0% tax hakuna mwekezaji utaona, BTW tax is always included in cost of production and it is not beared by the producer rather than a final consumer.
 
Dada mzuri na kapendeza kuliko air hostess wa KQ, Wakenya sijui wanakwama wapi.
IMG_20230427_084934.jpg
 
CCM chama kimoja tangu independence. Magufala kuua watu. No freedom of speech kuua upinzani... Tanzania ni jehanamu
Jehanamu ambayo wakenya wanakimbilia kupata "remittances" kwa ajili ya familia zao zinazokufa na njaa huko Kenya wakisingizia "Cult". Kumbuka Tanzania ndio nchi yenye kuhifadhi raia wengi wa Kenya kuliko nchi yoyote hapa Afrika, na ndio nchi yenye kampuni nyingi za Kenya kuliko nchi yoyote hapa duniani.

Tunaomba data za "Extrajudicial killings" kati ya Kenya na Tanzania tulinganishe tafadhali

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwann tanzania inafanya makosa ya kuwachukua hawa ng'ombe wakikenya hvi ingekua niwao wangetuchukua?? Manake haya ndio maswali ya msingi sana 👇👇👇

Nas kwenye Mastermind anasema “Make your enemies believe there's love there 'Cause in war, belief is all fair”

A big brother has to act as a big brother sometimes no matter how hard it is to deal with the juniours.
 
Mpe shule huyo, tax ingekuwa main factor zile nchi zenye tax haven ndio zingekuwa world’s production house. Wataalamu wa uchumi wanakwambia tax incentives sio kigezo cha muhimu sana kwenye FDI, kama huna technology, power, labour, market and infrastructures za kueleweka basi hata uweke 0% tax hakuna mwekezaji utaona, BTW tax is always included in cost of production and it is not beared by the producer rather than a final consumer.
Wakenya elimu yao inawafundisha kuwa "wapigaji" hawawezi kuelewa hapo.
 
Nas kwenye Mastermind anasema “Make your enemies believe there's love there 'Cause in war, belief is all fair”

A big brother has to act as a big brother sometimes no matter how hard it is to deal with the juniours.
Mijitu ambayo wakat africa inateseka ikajitenga na kuanza kufanya biashara wakaacha africa wenzao wakihangaika na uhuru, yani wanaroho mbaya sana hawa watu
 
Mijitu ambayo wakat africa inateseka ikajitenga na kuanza kufanya biashara wakaacha africa wenzao wakihangaika na uhuru, yani wanaroho mbaya sana hawa watu
Mm kama nitashushwa msituni alafu wakatokea maadui wawili, mkenya na Simba mm nitaanza kuuwa mkenya alafu Simba nitaelewana naye mana Simba ana utu kuliko mkenya.
 
Kwann tanzania inafanya makosa ya kuwachukua hawa ng'ombe wakikenya hvi ingekua niwao wangetuchukua?? Manake haya ndio maswali ya msingi sana 👇👇👇

KQ ILISHALETA ndege tatu already including tanzanians too.
Mnapenda sifa za utoto sana.
 
Back
Top Bottom