Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua bus chassis kweli wewe au kichwani umejaza udongo? Kati ya hizo picha kuna bus chassis?
That bus structure he posted can't function without a bus chasis. Ndio maana niliuliza kama mnajua hata bus chasis inaundwaje kama hamjui mabasi zote body structure huundwa vile
 
Leave these things to those who understand. Aliyekuambia kwamba product affordability ni kiashirio cha industrialization ni nani? Prices of manufactured goods are determined by their costs of production and taxation bongolala.

Nchi inawezakuwa n Viwanda vichache na bei ya bidhaa zikawa chini kulimgana na tax regime of that particular country and the costs of production. Just the same way a country can have many industries but prices of manufactured goods ziwe juu if the cost of production in that country iko juu.

Wewe unaongea bora you can login and quote posts pasi na uelewa wowote
Wacha kelele na usikilize watu wenye akili, "development means to make life easier, comfortable and cheaper", that's why science and technology always try to reduce costs of production by using less time, less labour force to produce more goods, that's why China is dominating world markes.

Wewe hizo story zingine za Kodi sijui nini, hizo wachana nazo, kipimo kikubwa Cha maendeleo ya viwanda ni kuzalishia bidhaa kwa wingi, zenye ubora, ndani ya muda mfupi na ambazo ni bei nafuu kwa watumiaji
 
Leave these things to those who understand. Aliyekuambia kwamba product affordability ni kiashirio cha industrialization ni nani? Prices of manufactured goods are determined by their costs of production and taxation bongolala.

Nchi inawezakuwa n Viwanda vichache na bei ya bidhaa zikawa chini kulimgana na tax regime of that particular country and the costs of production. Just the same way a country can have many industries but prices of manufactured goods ziwe juu if the cost of production in that country iko juu.

Wewe unaongea bora you can login and quote posts pasi na uelewa wowote
Hamna viwanda ninyi nyumbu na cost of production ni juu kunyaland due to unreliable and high costs of electricity, huna umeme halafu unasema upo industrialized?
 
Kuna shithole 1 huwa inajidanganya sana kwamba ipo advanced kwenye technology and ICT kumbe mpaka Uganda imewapita 😂😂

Screenshot_20230426-181226.png
 
Reli na biashara
Kbs Tanzania ndo kinara kwny ukanda huu kwa sasa!huna namna ya kujitenga nayo SGR iko nje kwake umeme na gesi ya kununua kwa bei nafuu iko nje kwake pia alifikiri tunatania!amemanga manga sana!Ila kwa vile ana akili kaamua kuja kusawazisha mambo mapema hatumfuati mtu sisi!Mtakuja wenyewe hata hawa Wakenya na kiburi chao chote wakikwama mbio Tanzania kulia lia.
 
Kbs Tanzania ndo kinara kwny ukanda huu kwa sasa!huna namna ya kujitenga nayo SGR iko nje kwake umeme na gesi ya kununua kwa bei nafuu iko nje kwake pia alifikiri tunatania!amemanga manga sana!Ila kwa vile ana akili kaamua kuja kusawazisha mambo mapema hatumfuati mtu sisi!Mtakuja wenyewe hata hawa Wakenya na kiburi chao chote wakikwama mbio Tanzania kulia lia.
Hata yule mshkaji wetu poa mkenya aliaga kwamba atakuwa bize hatochangia humu jukwaani kwa sasa sio kweli hayuko bize wala nini kausoma mchezo kala kona yamebaki haya mafenesi! Tuendelee kuyabonda tu hakuna namna!Hivi kweli wewe nchi iliyojenga reli ndefu kbs Afrika na ya kisasa na wewe umeishia Suswa huna hela wakati wewe ndo ulianza Tanzania ndani ya muda mfupi iko mbali kiasi hiki kweli?!
 
Hata yule mshkaji wetu poa mkenya aliaga kwamba atakuwa bize hatochangia humu jukwaani kwa sasa sio kweli hayuko bize wala nini kausoma mchezo kala kona yamebaki haya mafenesi! Tuendelee kuyabonda tu hakuna namna!Hivi kweli wewe nchi iliyojenga reli ndefu kbs Afrika na ya kisasa na wewe umeishia Suswa huna hela wakati wewe ndo ulianza Tanzania ndani ya muda mfupi iko mbali kiasi hiki kweli?!
Unadema na mradi mdogo kama wa BRT wkt sio tunaimplement phase zaidi ya tatu kwa wakati mmoja huku tuna bwawa kule tuna madaraja irrigation schemes,maji elimu afya na nk, Kenyans you are not serious!Tupeni maua yetu!
 
Back
Top Bottom