Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Not my words bongolala. Ni taarifa ya serikali yenu kupitia mkuu wa wilaya ya Bariadi. Your beggars have invaded our streets. However much you deny this but it's the truth and I know it hurtsView attachment 2599216
So GoK can't deal with them without intervention from GoT, really?. That is characteristic of failed state.
 
Wana trend kwa vitu vya kipuuzi.
Nimeona video mmama akimshindilia visu mtoto wake.
Cheki hii, afya ya akili ni changamoto kubwa miaka hii.

Kwaivo tatizo la akili lipo kenya tu. Mambo kama haya hayafanyiki Tanzania kamwe?
Jamiiforum imejaa wajinga
 
Wana trend kwa vitu vya kipuuzi.
Nimeona video mmama akimshindilia visu mtoto wake.
Cheki hii, afya ya akili ni changamoto kubwa miaka hii.


Matokeo ya nchi kuwa kwenye njaa mode ndo haya. Akili lazima ziwaruke

Wakenya mliopo humu, tafadharin sana.. muende shamban mkalime.. msije akaanza kurusha picha zenu naked humu mtakaporukwa na akili kisa njaa
 
Siku zote nimekua nikiwaambia muwarudishe Wacha kujitie uchizi. Nilishasema huku kwetu begging is illegal by law that's why they are looking for safe place like Kenya
The thing is, they are Tanzanians begging in Kenya. That's the fact you don't want to agree with
 
Endelea kuleta mashindano kwenye kila kitu.

Wapi nimeandika kenya ndo kuna matatizo ya akili tu?

No wonder mna trend Kwenye mambo ya kipuuzi.
Uliposema tunatrend kwenye mambo ya kipuuzi ulimaanisha nini? Kwani Tanzania taarifa kama hizo hazipo?
 
Back
Top Bottom