ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,426
- 88,514
tz wakati huu kwenye ujenzi wa barabara hakuna ubabaisha MWAMBA MAGU kipindi chake aliwafungua akili viongozi wa leo sasa ni lazima wavae viatu vyake ingawa bado haviwatoshi
Kumbe vilaza wapo wengi tu. Karibu kaka, sikujua uwepo wakowacha kutoa povu jibu hoja kuikabili hoja sawa wewe mla githeri
Second leg Simba SC ina mtihan mkubwa.. napenda watoke draw na Wydad Casablanca ili timu mbili zote za Tanzania niingie nusu fainali.
Hongera Yanga SC
sawa nyumbu wa kutoka lamu port imayosafirisha ngamia na mbuziKumbe vilaza wapo wengi tu. Karibu kaka, sikujua uwepo wako
MY TAKE
Hivi hawa ni wakina nani wanaodhani Mwanza tu ndo inafaa kupewa priority kwenye uwekezaji? Kwanini hupenda kuwapangia wawekezaji wapi pa kuwekeza? au ndo mambo ya kusimamisha bagamoyo port?
Second leg Simba SC ina mtihan mkubwa.. napenda watoke draw na Wydad Casablanca ili timu mbili zote za Tanzania niingie nusu fainali.
Hongera Yanga SC
Nimemsikia manager wa TARURA anasema DMPD 2 inakuja kufanya facelift kwa barabara za city center sio poa, kule una flyover moja safi inaingia town plus park ya maana kabisa pale Jagwani, then BRT 2,3&4 zinasafisha major streets kama Sokoine, Bibi Titi, Azikiwe, na Mnazi Mmoja, and then DMPD inalift minor streets, noma sana. Kuna watu nawaona wanatamani waombe radhi kwa kugalagala kwenye matope kwa matusi wamekuwa wakitutukana.