Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pamoja na adha yote ya ucheleweshwaji wa mradi wa BRT Phase 2, Kwa ile facelift niiyoiona pale Tanzanite, TRC, SGR Station, BRT ilivyo compliment na mradi wa SGR kipande cha kwanza narudisha shilingi yangu kwa SINOHYDRO
Pia naona upande wa pili wa Tanzanite Terminus kunahitaji uwekezaji mkubwa wa business complex (Mall kubwa kbs mjini) pamoja na 4 to 5 Hotel na pia kuwe na access ya kuingia na kutoka eneo la station pia upande mwingine kuwe na access ya mji ingia/ toka lile eneo litakuwa moto sana!.
 
Dodoma Apartments
housing_real_estate_dodoma_1682082829195400.jpg
housing_real_estate_dodoma_1682082829196714.jpg
housing_real_estate_dodoma_1682082829195144.jpg
housing_real_estate_dodoma_1682082829195501.jpg
housing_real_estate_dodoma_1682082829195179.jpg
housing_real_estate_dodoma_168208282919550.jpg
 
Pamoja na adha yote ya ucheleweshwaji wa mradi wa BRT Phase 2, Kwa ile facelift niiyoiona pale Tanzanite, TRC, SGR Station, BRT ilivyo compliment na mradi wa SGR kipande cha kwanza narudisha shilingi yangu kwa SINOHYDRO
Nimemsikia manager wa TARURA anasema DMPD 2 inakuja kufanya facelift kwa barabara za city center sio poa, kule una flyover moja safi inaingia town plus park ya maana kabisa pale Jagwani, then BRT 2,3&4 zinasafisha major streets kama Sokoine, Bibi Titi, Azikiwe, na Mnazi Mmoja, and then DMPD inalift minor streets, noma sana. Kuna watu nawaona wanatamani waombe radhi kwa kugalagala kwenye matope kwa matusi wamekuwa wakitutukana.
 
Naona huwa wanapiga 4layers kabisa.
Kwenye suala la ujenzi wa barabara wakenya hawana nafasi ya kuikosoa Tanzania, tupo mbali mno, Nakumbuka hawa wa brt phase 2 kuna kipande walizingua cha concrete walikifumua chote na kuanza upya, barabara za halmashauri na zenyewe zikipata hizi standards za tanroads barabara zetu zitakua za moto sana
 
nchi yetu ni salama na inafikika pande zote muda wowote kwa wenyeji na wageni hii ni Kigoma the farmost region kutoka Dar au Dodoma sawa na umbali wa counties za Pokot, Turkana, Mandera, Wajir, Garissa zilivyo mbali na Nairobi, lakini kwa Kenya huwezi kuzifikia hizo counties bila escort ya police au bila kuchukua tahadhari ya hali ya juu sababu ni no-go-zone


Mkenya yupo safe kutoka Kenya kuenda Kigoma kuliko kutoka Nairobi kwenda Pokot, Turkana, Mandera, Wajir au Garissa

20230423_123035.jpg
20230423_123047.jpg
20230423_123037.jpg
20230423_123114.jpg
20230423_123033.jpg


 
Back
Top Bottom