Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sama boy 255 🔥🔥
20230422_114439.jpg
 
Una nongwa sana na ulisema utafanya kazi ya kumkwamisha na uliapa kwamba hatogombea 2025,Bado miaka 2.
Mpango umeshatick na kukamilika.. tukutane 2025.. watu tuko site tayari
Na nikuambie kitu.. mtu mmojawapo ambae hamtegemei na ndie ataepinga mama kugombea rais ni aliekalia kiti pale 'mutama' saiz. 2025 nitarudi kuquote hii comment kukumbusha
 
Unajua maana ya neno upgrade? It means hiyo barabara ilikuwa ya vumbi now inakuwa upgraded to bitumen standard.
How do you upgrade kitu kinachoonekana vizuri sana ni lami kwenye picha? Wewe ni kenge wa wapi?
 
Nimekwambia hili jambo ni geni kwako, hujawahi kuona electrifitried railway, ikiwa cable stayed bridge hujawahi kuona, BRT roads hujawahi kuona so utanifundisha mm ambaye naviona kila siku? Narudia tena sikulaumu cz huna exposure ya hizo maneno.
Maneno mengi bila tija. Kuna nchi kadhaa havina ulivovitaja vyote na umeshinda hiyo nchi yenu kimaendeleo na kwa kila kitu
 
BRT hapo imeshakamilika wanafunga taa za barabarani tu saiv.. Ikipigwa picha ya usiku hapo itakuwa lit!!!!

Mambo Yana kwenda speed sana! Unashuka kwenye train ya mwendokasi, unapanda bus la mwendokasi.. Zero cost hakuna Uber kuhusika hapo! Usafiri rafiki na nafuu Kwa umma.
imagine na phase 3 itakuwa na terminal airport, unatoka zako Airport unakamata BRT inakuleta SGR terminal, unakamata bullet train unatambaa mpaka Mwanza au hata DRC 😂😂
 
Kapendeza sana. But why it seems people are not aware of her presence.. naona watu hawana habari nae au uwepo wake.. the influence 🤔

Mkuu unataka watu wamfuate hadi msikitini.Ya kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu mpeni Mungu
 
Apo kingekuwa chuma bhn jiji zima lingesimama, jamaa alipata nyota ya ajabu sana na nguvu za kutisha mpk majeshi.
Mbona ST.Peter Oysterbay ilikuwa haizizimi siku ya jumapili JPM alipokuwa anasali.Kuna siku nimesali nae pale tulikuwa tunahheshimu zaidi Mambo ya Misa kuliko siasa.Tuwe watu wa kuwaza mambo makubwa.Tumekuwa na akili zinazowaza mambo madogo madogo mno.
 
Mbona ST.Peter Oysterbay ilikuwa haizizimi siku ya jumapili JPM alipokuwa anasali.Kuna siku nimesali nae pale tulikuwa tunahheshimu zaidi Mambo ya Misa kuliko siasa.Tuwe watu wa kuwaza mambo makubwa.Tumekuwa na akili zinazowaza mambo madogo madogo mno.
Umesali siku moja, mim nasali hapo oysterbay sikuzote.. ndo kanisa ninaposali
 
Back
Top Bottom