Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Naweza kukupostia majengo mapya, barabara mpya, shule mpya, supermarkets mpya, sehemu za michezo mpya, hotels mpya, viwanda vipya, renovation za masoko na mashule hadi government buildings, hata dampo jipya naweza post Ukitaka.. huyo tahira haijui Tanga.. hata naweza kukupostia miji iliyokua juzi kimaendeleo kutoka kuwa ya maskini hadi kuwa middle class ..
Hizo kelele za sijui watu wa Tanga ni wavivu ni propaganda tumezoea kuziskia