Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa unalia nini na huo ndio ukweli?, Kwanini usichukulie kwamba wamekosea idadi za startup za Tanzania badala yake unachukulia wamekosea idadi ya magari ya Kenya?. Hii ndiyo Tanzania, ugua pole.
Umempiga na patasi kichwani, akirudi nitag [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Hii itakua inatoka Suma JKT Tarime, wana acres zaidi ya 200 za Kahawa, ingekua kunyaland ingekua inatoka kwenye shamba la Mzungu kama chai na maua

20230422_093420.jpg


 
Sasa unalia nini na huo ndio ukweli?, Kwanini usichukulie kwamba wamekosea idadi za startup za Tanzania badala yake unachukulia wamekosea idadi ya magari ya Kenya?. Hii ndiyo Tanzania, ugua pole.
Kwanza piga ua kama unavyosema watakuwa wamekosea start ups kwa Tz mana gape la idadi ya electric cars baina ya Kenya na Tz ni kubwa sana, 5000 vs 350? Zaidi ya Mbingu na ardhi.
 
Nenda uwaambie wabadilishe waiweke Kenya ila kama huwezi baki na hii [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2595910
😂😂😂😂😂 wachomoe uma waweke kijiko kama inawauma Tanzania kuwa na 5000+ EVs
 
153km with car ndio unaendesha mpk unachoka? Wakenya washamba sn wallahi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ungemuuliza ni dual carriageway gani in kenya ni 153km akujibu kwanza 🤣🤣🤣🤣 na unitag akikujibu
 
Yani tuwe na 40 e-mobility startups na wao 11 alafu wawe na magari mengi kutushinda. Huku Kenya tunavyoongea, matatu saccos kama Super-Metro zimeanza kumove to electric buses, tourists SUVs huko Maasai Mara wameanza electric cars, Nopia taxi pekee walikuwa na over 1500 electric cars in 2021 and over 2000 in 2022 kabla wafunge. Wakifunga hizo gari zote waliuzua Wakenya meaning zote ziko Kenya sahii. Meanwhile hapo Tanzania hata ukimwambia apost electric car moja kwa street ni mtihani alafu wawe nazo nyingi kutushinda Kisa ameisoma kwa tweet.🤣🤣
ukimaliza kushangaa 5000+ EVs za Tanzania njoo ushangae hizi rough roads mlizodanganywa na sugunyo kwamba ni lami 😂😂😂😂

wenzako walikua wanapiga mayowe tu jana baada ya kuwatoa tongo tongo, madhali we kichaa mkuu leo upo labda utawafariji kama unavyofanya kwenye electric vehicles hapo 😂😂😂

Screenshot_20230421-134832.png
Screenshot_20230421-140745.png
Screenshot_20230421-134936.png
Screenshot_20230421-140829.png
 
Kapendeza sana. But why it seems people are not aware of her presence.. naona watu hawana habari nae au uwepo wake.. 🤔

We Jamaa uko desperate na una shida sana na Rais ,kazi Yako ni kutafutiza vitu visivyo na msingi 😁😁
 
Back
Top Bottom