kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
huyo mkora sio wa kutumia akili nyingi kumjibu mkuu....ni kucheza tu akili yake ndogo...niachieni mimi.Aisee huku hakukufai, akili yako ni ndogo sana, lakini nitakufundisha baadhi ya mambo tunayoangalia ili kujua hiyo nchi inamaendeleo kiasi gani na ubora wa maisha ukoje katika nchi husika
1) Uwezo wa wananchi kukidhi/kupata mahitaji ya msingi- hili linapimwa kwa kutumia kiwango cha wananchi wanaoshinwa kufikia uwezo huo(Population below poverty line, by 2016 Kenya 43%; Tanzania 28%)
