kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
ASANTE BRO..LETENI MANENO SASA
acha porojo.KIBERA KIBERA KILA SAA...HIYO NI FACT HUKO MNAFUNZANA NA KISWAHILI..NYINYI HAMNA KITU MNAEZA TUAMBIA
ASANTE BRO..LETENI MANENO SASA
acha porojo.KIBERA KIBERA KILA SAA...HIYO NI FACT HUKO MNAFUNZANA NA KISWAHILI..NYINYI HAMNA KITU MNAEZA TUAMBIA
KWANZA NIME NOTICE WEWE NI KIDOMO TU UNAPIGAPIGA(SPECIALTY YA MATZ)..ROPOKA NISKIEacha porojo.
Hii zote ni harakati za kuzima moto wa TZ..join date : 22/10/2017
number of likes received : 0
followers : 0
![]()
![]()
![]()
![]()
karibu jamiiforum.

Hii zote ni harakati za kuzima moto wa TZ..![]()
![]()
![]()
![]()
NI KUZIMA POROJO..HAKUNA SIKU MTATUPATA SISI..Hii zote ni harakati za kuzima moto wa TZ..![]()
![]()
![]()
![]()
Kufunzana ndio kiswahili gani hicho? Kwanini usiandike kufundishana?KIBERA KIBERA KILA SAA...HIYO NI FACT HUKO MNAFUNZANA NA KISWAHILI..NYINYI HAMNA KITU MNAEZA TUAMBIA
HAYA HEBU TAFSIRI HIYO KWA KIINGEREZA TUONEKufunzana ndio kiswahili gani hicho? Kwanini usiandike kufundishana?
Kufuza ni kiswahili cha ovyo. Badilisha neno kufunza andika kufundisha.
Maana mzizi wa neno kufunza ni "funza"
Na mzizi wa neno kufundisha ni "fundisha"
Huyu hapa ni funza
![]()
Hapa mwalimu anafundisha sio mwalimu anafunza
![]()
Kufunzana ndio kiswahili gani hicho? Kwanini usiandike kufundishana?
Kufuza ni kiswahili cha ovyo. Badilisha neno kufunza andika kufundisha.
Maana mzizi wa neno kufunza ni "funza"
Na mzizi wa neno kufundisha ni "fundisha"
Huyu hapa ni funza
![]()
Hapa mwalimu anafundisha sio mwalimu anafunza
![]()

https://www.google.com/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=2&cad=rja&uact=8&ved=0ahUKEwie1PKnyIbXAhVE6RQKHQufCj4QFggoMAE&url=http://www.businessinsider.com/the-25-poorest-countries-in-the-world-2016-4&usg=AOvVaw04rtPc_eOjLCxgrXRYFkx2Jambo la pili nataka kukutoa tongotongo.
Hizo unazoziita facts umezitoa wapi? Je, unaweza kuzithibitisha?
Nitafsiri nini sasa? Halafu kuandika kwa herufi kubwa kubwa ni kuonesha kiwango chako kiko chini sana na huna exposure.
Sentensi ipi unataka nikusaidie kwa kingereza?

Brother andika kwa normal case.. una shout kwa nini?HAYA HEBU TAFSIRI HIYO KWA KIINGEREZA TUONE
Sasa mbona unajichanganya tu mwenyewe? Hapa umeongelea kuhusu chemistry kufundishwa darasani. Au ndio kiwango chako chauelewa huo?
SASA JU MUMEANZA KUELEWA KINGEREZA YA KUOMBA MAJI NDIO MNAJIGAMBA?Brother andika kwa normal case.. una shout kwa nini?