Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi Tz ni nchi maskini zaidi EA tena fukara kabisa kuliko nchi yoyote EA lkn tunailisha EA, tunafanya miradi yenye thamani kubwa zaidi kuliko miradi inayofanyika nchi zote EA combined na ndiyo nchi pekee EA iliyo install technology mpya katika usafiri wa anga, majini na ardhini (electrifitried SGR, BRT system, modern planes, biggest and modern ship etc) na ndiyo nchi pekee EA ambayo raia wake wana uhakika wa chakula kwa asilimia 100, so bakini na makaratasi sisi tunazidi kujenga nchi mkija kuamka tumeshatoka lower middle income country mpk upper middle income country.
 

Hizi comments hapa chini inaonekana zinatoka kwa raia wa nchi mbalimbali.

Kwa maoni yako, unadhani ziko fair kwa rais wetu kumshambulia kiasi hiki?
Jamaa ni mpumbavu sana! Nimefata kule kule kumpa zake! Na ninmkenya huyo nyang'au.

Wanatumia ishu ya waandishi wa habari kutopewa nafasi ya kuuliza maswali. Kitu hawajui ni kwamba hii ziara ya Kamala Africa imefeli. Kama mtu ni mfatiliaji utajua tu. Ana yaliomkuta Ghana kwenye press conference na Atta, ona media coverage ya hii safari Africa nzima. Yani hakuna positive vibe.

Kuto ruhusu kuuliza maswali ilikua ni kumsaidia kamala. Imagine angeulizwa mambo ya LGBTQ. Angejibu nini??
 
Hizi hesabu haziingii akilin
2023 mpk 2030 ni miaka saba
Dollar 24Bil = Tsh 57.6 tril
So kwa mwaka 57.6÷7 = 8.2 tril Tsh
Kwahio kwa mwaka watatumia Tsh 8.2 tril? Sijawah kuona wizara yoyote ikitumia tril 5 kwa mwaka. Inayojitahid sana mwisho tril 3
Good observation
 
Genocide loading.....
Screenshot_20230401-083841.jpg
FB_IMG_16803275344890099.jpg
 
Last time I checked, Tanzania has the highest numbers of Kenya citizens than any African country, and Tanzania is the biggest source of Kenyans' remittances in Africa.
Yeap and the difference is Kenyans are in Tanzania to make money not beg like your fellow Danganyikans on our Kenyan streets. KCB, EQUITY, MPESA just to name a few companies
 
Nchi ya shida, mateso na taabu, serikali inashindwa hata kuhakikisha usalama wa raia, hivi vitendo vimetokea jioni baada ya muda wa maandamano kisheria kukamilika.
Waendelee kuuwana, wapo wengi sana ngoja wapungue watatuletea shida hapa EA kwa wingi wao mana itatusumbua kwenye kuwalisha.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

 
Back
Top Bottom