Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Sasa shirika inafanyaje vizuri kama haijaitengeneza faida tangu ianzishwe?🤣🤣😂🤣Hasara ikipungua maana yake shirika linafanya vzr linaanza kufunguka zaidi yani ukiona hasara inapungua kwa almost 50% ndani ya mwaka mmoja ujue ni gap kubwa sana hasa kwenye airline business
Hata ukiumia haisaidii wala huwez zuia 😆😆