Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Vizuri sanaUmeshashiba sio?😂😂
Vizuri sanaUmeshashiba sio?😂😂
Sawa.😂Vizuri sana
Yani nimefurahi sana kweli mumetimiza azma ya magufuli hongereni sana na onesheni bidii zaidi yani from 60b to 35b ndani ya mwaka mmoja go go airtanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍😍😍😍😍😍
2020/2021
2021/2022
Anaumia kwann air tanzania imefufuliwa juzi na imepunguza hasara over 50% ndani ya mwaka mmoja mm kuna siku nilisema air tanzania ndio mwiba wa kq wakaanza kuniandama na matusi 🤣🤣🤣🤣🤣Umeshashiba sio?😂😂
Nashangilia kupunguzwa kwa hasara from 60b to 35b ndani ya mwaka mmoja hio ndio furaha yangu vipi wewe ?? 🤣🤣🤣🤣🤣Unashangilia hasara? Wewe ni kondoo wa wapi?😂🤣🤣
Bado nangoja unionyeshe faida ATCL ishaipata. Niko pale nangoja😂😂🤣Anaumia kwann air tanzania imefufuliwa juzi na imepunguza hasara over 50% ndani ya mwaka mmoja mm kuna siku nilisema air tanzania ndio mwiba wa kq wakaanza kuniandama na matusi 🤣🤣🤣🤣🤣
46 years shirika bado inapata tu hasara, to make it worse ATCL is making losses yet hailipi parking fees at the all the Tanzanian airports.😂😂😂Nashangilia kupunguzwa kwa hasara from 60b to 35b ndani ya mwaka mmoja hio ndio furaha yangu vipi wewe ?? 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza jionee kupungua kwa hasara kwa almost 50% ni hatua kubwa sana sikuwah kuitegemea air tanzania mm nilijua watapunguza hasara mayb kwa 10% or 5% yani almost 50% sikutarajia ni jambo kubwa sana air tanzania wamelifanya 👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿Bado nangoja unionyeshe faida ATCL ishaipata. Niko pale nangoja😂😂🤣
👏👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿46 years shirika bado inapata tu hasara, to make it worse ATCL is making losses yet hailipi parking fees at the all the Tanzanian airports.😂😂😂
Hasara ni faida?😂😂🤣😂Kwanza jionee kupungua kwa hasara kwa almost 50% ni hatua kubwa sana sikuwah kuitegemea air tanzania mm nilijua watapunguza hasara mayb kwa 10% or 5% yani almost 50% sikutarajia ni jambo kubwa sana air tanzania wamelifanya 👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
👏👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kupungua kwa hasara ndio tija yangu na furaha yangu yani nimefurahi sana na hili nililisema kq inauliwa na airtanzania na kweli sasa muda unaongea 😆😆👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿Hasara ni faida?😂😂🤣😂
Kwanza jionee kupungua kwa hasara kwa almost 50% ni hatua kubwa sana sikuwah kuitegemea air tanzania mm nilijua watapunguza hasara mayb kwa 10% or 5% yani almost 50% sikutarajia ni jambo kubwa sana air tanzania wamelifanya 👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
👇👇👇👇hasira hasaraHii tweet ndio faida?🤣🤣😂
Kwani ulitakaje?Hii tweet ndio faida?🤣🤣😂
Hasara ikipungua inamaanisha shirika imepata faida?🤣🤣😂🤣Kupungua kwa hasara ndio tija yangu na furaha yangu yani nimefurahi sana na hili nililisema kq inauliwa na airtanzania na kweli sasa muda unaongea 😆😆👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Yeye alitaka badala ya 60b mwaka juzi asikie kama 85b or 90b mwaka jana hvo ndio alitaka asikie 🤣🤣🤣🤣Kwani ulitakaje?
Nimemwambia anionyeshe anywhere ATCL ishaipata faida akashindwa😂Kwani ulitakaje?
👇👇👇👇hasira hasara
Hasara ikipungua maana yake shirika linafanya vzr linaanza kufunguka zaidi yani ukiona hasara inapungua kwa almost 50% ndani ya mwaka mmoja ujue ni gap kubwa sana hasa kwenye airline businessHasara ikipungua inamaanisha shirika imepata faida?🤣🤣😂🤣