Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Dodoma ilianzisha 1970's but bado inafanana na Mandera.White elephant ina zaidi ya miaka 10 lakini hata 1% ya render bado ๐๐๐๐
View attachment 2570305View attachment 2570306
Dodoma ilianzisha 1970's but bado inafanana na Mandera.White elephant ina zaidi ya miaka 10 lakini hata 1% ya render bado ๐๐๐๐
View attachment 2570305View attachment 2570306
Ona hii fumba ina just 4 yrs lakini ona habari yake wakat tatu in over 10yrs na hakuna kitu ya maana hata 1% ya render yake bado๐๐
View attachment 2570311
Tunachofurahia kupinguza hasara kwa almost 50% hio ndio furaha yetu vipi kwenu huko ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ 38.2b ksh ni sawa na 649b tsh na ni sawa over 320m usdATCL ishaitengeneza faida? Ama hata hawajui faida ni nini?๐๐
Dodoma sio size yenu ndio maana siiweki hapa pambana na fumba town kwanza ๐คฃSo it's Tatu City Vs Dodoma and Fumba?๐๐
Tunachofurahia kupinguza hasara kwa almost 50% hio ndio furaha yetu vipi kwenu huko ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ 38.2b ksh ni sawa na 649b tsh na ni sawa over 320m usd
Dodoma imeanza kujengwa kipindi cha magufuli na serekali imeanza kuhamia dodoma rasmi kipindi cha magufuli na hilo najua unalifahamu vzr ๐๐ hata ukikasirika ndio ukweli sasaDodoma ilianzisha 1970's but bado inafanana na Mandera.
ATCL imefufulia just 3 yrs ago vipi itengeze faida within short period of time wakat investments inaendelea ๐๐๐ATCL ishaitengeneza faida?
Dodoma can't even compete Isiolo, so why try to compare it with Tatu City? Dodoma was started in 1970's lakini hadi wa leo bado ni kama tu Mandera.Dodoma sio size yenu ndio maana siiweki hapa pambana na fumba town kwanza ๐คฃ
ATCL toka imefufuliwa imepunguza hasara kwa almost 50% ni furaha yetu kua 2 yrs to come kwa speed hii tutakua tunazungumzia faidaATCL ishaitengeneza faida? Ama hata hawajui faida ni nini?๐๐
๐๐๐๐๐๐๐ dodoma imeanza kua capital city 1970 lakini serekali kuhamia dodoma na kuiendeleza na kua jiji imeanza within magufuli period hata ukikasirika ndio ukweli ndio maana huoni niki fanananisha na dodoma manake sio size yako kwanza malizana na fumba townDodoma can't even compete Isiolo, so why try to compare it with Tatu City? Dodoma was started in 1970's lakini hadi wa leo bado ni kama tu Mandera.
1977 ni 3 years ago?๐๐ATCL imefufulia just 3 yrs ago vipi itengeze faida within short period of time wakat investments inaendelea ๐๐๐
Asante kwa kubali kwamba Dodoma ilianza 1970 na bado haijafika hata 1% 50 years later.๐๐๐๐๐๐๐ dodoma imeanza kua capital city 1970 lakini serekali kuhamia dodoma na kuiendeleza na kua jiji imeanza within magufuli period hata ukikasirika ndio ukweli ndio maana huoni niki fanananisha na dodoma manake sio size yako kwanza malizana na fumba town
ATCL haijawaipata faida na haitawahi pata faida pia ๐๐ATCL toka imefufuliwa imepunguza hasara kwa almost 50% ni furaha yetu kua 2 yrs to come kwa speed hii tutakua tunazungumzia faida
Vipi kuhusu kq sasa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kufufuliwa air tanzania imefufuliwa na magufuli with 3 yrs period of time and still investments going on bado wanajenga karakana za ndege bado wameagiza ndege yani bado investments going on ๐๐๐
Kufufuliwa air tanzania imefufuliwa na magufuli with 3 yrs period of time and still investments going on bado wanajenga karakana za ndege bado wameagiza ndege yani bado investments going on ๐๐๐
Kama imeweza kupunguza hasara kwa almost 50% wewe nani uizuie istengeze faida wakat mwaka huu ndege tano mpya zinaingia ikiwemo ya mizigo ๐๐๐๐๐ATCL haijawaipata faida na haitawahi pata faida pia ๐๐
Kufufuliwa air tanzania imefufuliwa na magufuli with 3 yrs period of time and still investments going on bado wanajenga karakana za ndege bado wameagiza ndege yani bado investments going on ๐๐๐
Ndio ilikua imekufa ndio maana ikafufuliwa baada ya kuhujumiwa na private sectorsKwani ilikuwa imekufa?๐๐๐ Yani tangu 1977 ATCL hata hawajui profit ni kumaanisha nini ๐๐
Kwani tangu 1977 Mimi ndio nimezuia Air Tanzania kupata faida?๐๐Kama imeweza kupunguza hasara kwa almost 50% wewe nani uizuie istengeze faida wakat mwaka huu ndege tano mpya zinaingia ikiwemo ya mizigo ๐๐๐๐๐
Ww kinachokuuma ni kwann air tanzania imepunguza hasara kwa almost 50% toka kufufuliwa kwake just 3yrs ago ?๐๐๐ sasa hata ukiumia itakusaidia nn au utazuia nn2023-1977. Hiyo ni 46 years bila faida and still counting ๐๐๐