Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukweli... kuna mambo ya kijinga sana anayafanya kwenye hiyo route.
Kabisa. Vyoo vya pale gereji kwake ni vichache halafu vichafu, milango imeliwa na fungus ,akina mama na watoto wanapata shida kujisaidia.

Kwa ujumla mazingira si rafiki kwa wasafiri. Kuna haja gani kujazia mafuta gereji Morogoro badala ya Dar au vituo vya barabara kuu?

Wanapoteza muda kufunga mahesabu pale pale gereji. Hii route anaifanya kiswahili swahili sana wenzake watamtoa barabarani maana wako smart.
 

Mnapenda siasa za Kenya hata propaganda huwa haziwapiti 😅
B7D1368E-C054-42AF-BDC0-ABBE6AA42AB1.png
 
Haina hata mwaka sijui miaka miwili 2 lkn ilivyo sasa ni kama ina miaka 100 tuko ijengwe
  • Mitaro iko wazi
  • Sidewalk way ndo hivyo, binadam hawathaminiw
  • Maua kwenye pillars ndo yametoweka, no maintenance


Meanwhile, ya ubungo ni kama ndo imetoka kuzinduliwa jana
IMG_4748.jpg
IMG_4749.jpg
 
Lengo langu ilikuwa kufikisha ujumbe kwamba SGR italeta ushindani kwake, sema kosa langu nimeanzia katikati na kusikutaja madhaifu yake.

Mabasi yao ni mazuri, madereva wana kauli nzuri ila sasa kuna sehemu wana mapungufu inabidi wayarekebishe ili waende sawa na wengine.

Ni kama route ndefu hajaizoea. Dar lux tulimshauri lakini hakusikia i sasa hivi yuko wapi?

Ebu fikiria mnapanda basi Urafiki mkifika Mbezi mnafaulishwa ili mpande basi lingine la kwenda Bukoba au Musoma, kwenye kupanda hakuna anayejali mizigo ya abiria, ni usumbufu tu.

Mnaanza safari mkifika Morogoro mnapelekwa gereji kwao kujaza mafuta, hapo hapo nje kuna magenge mnaambiwa mnununue chochote.

Pamekaa kiswahili sana,vitu ni local,wakimaliza kujaza mnaingia ndani ya basi safari inaanza hao mpaka Kahama wanaamua kulala hapo hapo mpaka kesho alfajiri ndio mnaanza safari.

Njiani sasa basi ni kama daladala kuna abiria wanapanda na kuku, kuanzia Kahama,Nyakanazi, Biharamulo, Muleba kote huko ni kusanya kusanya. Mpaka mfike saa 7 mchana au saa 8 kasoro. Kumbuka ambao hawakulala Kahama wanafika saa 12 alfajiri.

Sasa hata kama wewe unampenda Abood karaha hizi utazivumilia?
Umeongea ukweli mtupu... hiyo garage yao nilienda pembeni nikanunua kiepe! Aisee safari iliharibikia hapo na nilipofika nilikaa siku 3 sijakaa sawa gharama kibao mpaka kurudi sawa. In short siwezi kurudia kupanda hilo bus kwa hiyo route.
 
Umeongea ukweli mtupu... hiyo garage yao nilienda pembeni nikanunua kiepe! Aisee safari iliharibikia hapo na nilipofika nilikaa siku 3 sijakaa sawa gharama kibao mpaka kurudi sawa. In short siwezi kurudia kupanda hilo bus kwa hiyo route.
Kwa kweli wajitafakari.

Mimi nikikuta nyumba nzuri kitu cha kwanza huwa ninaangalia vyoo na bafu zikoje nikikuta kuchafu hapo hapo thamani yake inapotea na uzuri wote unaisha.

Alianza anatoa mabasi 2 ila sasa hivi ni 1 asipokuwa makini hata hilo moja litasitisha safari ya huko.

Mimi nilinunua mishikaki pale aisee ilikuwa na chumvi hadi tumbo nilihisi kujaa gesi mpaka nimefika home niko taabani.
 
Haina hata mwaka sijui miaka miwili 2 lkn ilivyo sasa ni kama ina miaka 100 tuko ijengwe
  • Mitaro iko wazi
  • Sidewalk way ndo hivyo, binadam hawathaminiw
  • Maua kwenye pillars ndo yametoweka, no maintenance


Meanwhile, ya ubungo ni kama ndo imetoka kuzinduliwa jana
View attachment 2567306View attachment 2567307
Jamaa hawana elimu ni washenzi wa tabia pia sio wastaarabu kabisa, wachafu mno na hawana elimu ya utunzaji, kwa kifupi ni washenzi sn Wakenya hata uwajengee nn kesho tu utakuta kama cha miaka mia iliyopita, no wonder huwa wana save picha za uzinduzi ili kuendelea kuongopea watu.
 
Jana mandonga kapiga tena mtu huko kunyaland

Naona kunyaland inataka kujitangaza kwenye boxing kupitia TanzaniaView attachment 2566044
Hapa Mama pia angeongea kitu kwa hawa madogo kwenye vitasa wanatuwakilisha vizuri sana.

Akiwapa motisha tutaibua vijana wengi na kuzidi kuitangaza nchi kimataifa. Tuna vipaji vingi vipo mtaani shida kubwa wanakosa mtu wa kuwabeba.

Kwa mfano akisema kila bondia atakayeshinda mkanda wa kimataifa anapewa 20m,aisee vitasa vitapigwa na watu watapigika.

Mama hata wapiga masumbwi ni wanao pia kama wa footballer.

Siwaachi nyuma kuwapaongeza Azam Media kwa kuutangaza huu mchezo hongereni sana.
 
Back
Top Bottom