Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So kumbe ni body builder also kama dar coach sasa unachoshangaa ni nn 🤣👇

Dar coach is a fabricator, AVA is an assembler. Know the difference. Ama ebu tuonyeshe any bus AVA wamefabricate nitike JF saa hii😂😂😂
 
Mbona sioni penye imeandikwa assembled in Tanzania 😂😂
vaa miwani utaona tu 🤣🤣👇👇
Screenshots_2023-03-25-15-50-50.png
 
Siku hizi assembling in Kiswahili ni "kuundwa"?🤣🤣😂😂 Kuunganisha basi ni nini?😂😂😂
Haya niambie maana kuundwa na kuunganishwa tofaut yake nini?? Au nipe maana ya kuundwa leo unanifundisha kiswahili mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii screenshot ndio basi?😂😂😂 Nimekuambia unionyeshe picha ya basi yoyote wamefabricate😂😂🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kazi anayofanya AVA haina tofaut na kazi anayofanya dar coach hio weka kwenye akili yako itakusaidia baadae
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kazi anayofanya AVA haina tofaut na kazi anayofanya dar coach hio weka kwenye akili yako itakusaidia baadae
Dar coach ni kama zile kampuni za kutengeneza matatu huku Kenya 🤣🤣😂
 
Achana nae mama huyo wivu ndio unamsumbua tu ba bado hashnagai export from tz to ke ni kubwa kuliko export yao kuja tanzania bado anawaza tanzania ya 90s ndivo walivodanaganywa na wanasiasa wao
They have got scrambled brains in those head cases.
 
Back
Top Bottom