Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya niambie maana kuundwa na kuunganishwa tofaut yake nini?? Au nipe maana ya kuundwa leo unanifundisha kiswahili mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Assembling ni kuunganisha.
Kuunda ni built.

Know the difference idiot😂😂😂
 
So kati ya kuunda na kuunganisha nani anakua na skills zaidi ya mwenzake ??😆😆


Jamaa kalemewa🤣🤣😂😂. So Dar Coach hawafanyi assembling Tena after I have taught you a few vocabularies?🤣🤣🤣
 
Jamaa kalemewa🤣🤣😂😂. So Dar Coach hawafanyi assembling Tena after I have taught you a few vocabularies?🤣🤣🤣
Dar coach wanafanya assembling na hii ndio assembling yao chini ya usmamizi wa scania F95😆😆👇👇👇
 
Sasa umekazana na kunionyesha vitu years ago, saa hii hiyo kampuni ishauzwa😂😂


Kuna tofaut kati ishauzwa na kinauzwa?? Tofautisha maana 🤣🤣🤣 wewe siunanifundisha mm kiswahili so kama mmiliki kaamua kuuza mm nikazuie na watakaonunua wapo na kuendeleza
 
Wamefabricate, usilazimishe the word assembling where it doesn't belong [emoji23][emoji23]
Aliye fabricate ndio anatumia akili na ujuzi mkubwa kuliko assembler maana fabricator anatengeneza na kumpelekea assembler aunganishe.
 
Kuelewana kwa kushindwa na kazi to a point of selling the warehouse?🤣🤣😂😂


Kaamua kuuza wapo watakaonunua nankuendeleza mm siwez kumzuia eti asiuze 🤣🤣🤣🤣🤣 acha auze tu na watakaonunua wataendeleza
 
Kwaakili yako asemblers na fabricators nani yuko juu if at all you know the meaning of those words.
Assembler Yuko Juu cause everything comes as CKD. Fabricator buys a complete chassis and only make the body
 
Aliye fabricate ndio anatumia akili na ujuzi mkubwa kuliko assembler maana fabricator anatengeneza na kumpelekea assembler aunganishe.
Acha uongo, assembler anapata the CKD parts from the parent company. Kama ni Marcopolo the parts of Marcopolo will come either Brazil or China.
 
Back
Top Bottom