Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna dafu moja linashuka kutoka juu 🤣 🤣 🤣

Fr97YyAWIAE90gT
 
Mshaanza kupingana wewnyewe kwa wenyewe. Mkipenda mpigane mangumi cause me I don't care😂😂
Nani kapigana na mtu hapa unabadilisha mada ?? Kwan hutak tanzania itumie EMU au unaweza kuzuia ??🤣🤣🤣acha wivu wakimama

Kasema ndio train yetu ni EMU zitaiuja kutoka germany sasa ww inaumia wapi?
 
Do you know the difference between a train and a railway? Nimesema our railway is Chinese First Class. That's the truth ukipenda ujinyonge😂😂
Nimekuuliza is this chinnese 1st class train 🤣🤣
Ndivo hua munadanganywa na wanasiasa
images - 2023-03-25T120721.821.jpeg
 
Nani kapigana na mtu hapa unabadilisha mada ?? Kwan hutak tanzania itumie EMU au unaweza kuzuia ??🤣🤣🤣acha wivu wakimama

Kasema ndio train yetu ni EMU zitaiuja kutoka germany sasa ww inaumia wapi?
Jamaa wako alisema Tanzania trains zenu ni EMU Sasa sijui mbona unakuja kunililia hapa?🤣🤣🤣
 
Kwani nyinyi mlivopeleka mashuka ya kimasai turkey ilikua mushamaliza matatizo yenu 🤣🤣🤣
Hatuna matatizo ya shuka, nyinyi mna matatizo ya pesa Hadi mnaomba wajapan misaada ya kuwajengea vyoo😂😂😂
 
Hatuna matatizo ya shuka, nyinyi mna matatizo ya pesa Hadi mnaomba wajapan misaada ya kuwajengea vyoo😂😂😂
Hamuna matatizo ya shuka wakat yanazalishwa kwa kutumia pesa au munazalisha bure 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom