Jay, hii kitu siyo ya kufurahia hata kidogo, inasikitisha! Naona fizikia wakenya iliwapita kando kidogo, ni hivi;
Gari ni nzito (massive, relatively speaking) na ikiwa kwenye mwendo inakuwa na kitu kinaitwa 'momentum' (product of mass and velocity) sasa kwa gari iliyo kwenye mwendo na ikatokea kizuwizi (obstacle) itabidi ipunguze mwendo ghafla. Ile nishati ya mwendo (kinetic energy) itatafuta pa kwenda (energy can neither be created nor destroyed but it can be transfered from one form to another - law of conservation of energy).
Ndiyo maana haya magari yanaundwa na metali (alloy). katika kemia, moja ya sifa za metali (physical properties of metals) ni kubonyea au kupinda. kama kutatokea ajali, basi sifa hiyo ya metali itatumika kama 'safety feature'.
Sasa sijui kama muundaji wa hiyo 'Range Rover' ya mbao (non metal) aliyajua hayo. Ukitokea mzinga na kuhakikishia kiasi kikubwa cha energy ya kusimama ghafla, itakuwa 'transfered' kwa driver, sasa sijui kama atahimili.
who told you its being used? ujinga ya watz inashangaza🙁🙁🙁I always say kenyan education system is not removing majority of its citizens from ignorance.
thanks for a candid analysis comrade.
hiyo gari labda wataenda kuiweka museum.
hio gari nani anaiendesha??? tumia akili...kupayuka punguzaYani hiyo gari nchi nyingine asingeruhusiwa hata kuiendesha.
Basi apo sawa kama halitembei.hio gari nani anaiendesha??? tumia akili...kupayuka punguza
nyie mna Headquarters zipi???kumbe ni hq ya EA...nilidhani ni bara lote la africa.![]()
![]()
who told you its being used?

yap...mnapotuwekea hapa taarifa nusunusu mnategemea nini?....ungeweka taarifa kamili kuhusu hilo gari la mbao hakuna ambaye angehoji.
haya tuambue lengo la kuunda gari la mbao ni nini?...exhibition?.![]()
headquarters za multinational organization hapo nairobi, zimesaidiaje kuwaondoa wakenya katika chuki zenu za kikabila katika kipindi hiki cha vuguvugu la kisiasa baina ya NASA na jubelee?.nyie mna Headquarters zipi?

lol! they setup the HQs in TZ because they need to eat your resources...Kenya dos not have gold...why set up HQs in Kenya??HQ ya Barick Gold Mine au hujui?
.I always say kenyan education system is not removing majority of its citizens from ignorance.
naliamsha dudeheadquarters za multinational organization hapo nairobi, zimesaidiaje kuwaondoa wakenya katika chuki zenu za kikabila katika kipindi hiki cha vuguvugu la kisiasa baina ya NASA na jubelee?.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwako haiwez kuwa good news hata kidoggood news....ila remind me why you are still LDC ndugu...nimesahau kidogo..![]()
![]()

umeelewa irony iliopo kwa ile comment kweli??Kwako haiwez kuwa good news hata kidog![]()
![]()