Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gazeti jambo leo haya piga makofi😆👏👏
Gazeti la Tanzagiza 🤣🤣😂

images (1).jpeg
 
Fungua link soma kazi yangu nikukupa data na kazi yako ninkufungua na kusoma 🤣👇

Between February 2020 na September 2021 gani ndio recent?🤣🤣😂🤣

I trust the one for September 2021 more than that blank tweet of 2020🤣😂🤣

JamiiForums-233330013.jpeg
 
Between February 2020 na September 2021 gani ndio recent?🤣🤣😂🤣

I trust the one for September 2021 more than that blank tweet of 2020🤣😂🤣

View attachment 2557997
Hii data ndio hutaki kufungua ukasoma au ushafungua ukaona kuna shida kubwa sana 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇au ushahamisha magoli tayari
 
Jambo leo haya piga makofi mukishindwa kwenye mambo muhimu munakimbilia kwenye upuuzi 🤣🤣🤣🤣

Ifike hatua muanze kukubali madhaifu yenu 😆😆
Dhaifu gani? Ati only 3.2M customers are connected to electricity in Tanzagiza compared to 8.91M in Kenya?😂😂🤣😂


Kenya
20230319_145539.jpg


Tanzagiza
JamiiForums-233330013.jpeg
 
Hii data ndio hutaki kufungua ukasoma au ushafungua ukaona kuna shida kubwa sana 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇au ushahamisha magoli tayari

Asante kwa tweet ya 2020🤣🤣😂🤣👏👏👏

September 2021😂😂👇👇👇

JamiiForums-233330013.jpeg
 
Dhaifu gani? Ati only 3.2M customers are connected to electricity in Tanzagiza compared to 8.91M in Kenya?😂😂🤣😂


Kenya
View attachment 2557998

Tanzagiza
View attachment 2558000
Hebu soma vzr wateja ni 3.2m wateja lakini data yenu inaonesha sio wateja watu waliofikiwa na umeme ni 8m maana yake wamechukua population na sio customers

So nyumba moja au mteja mmoja anaeza kua na familia ya watu 5 mpaka 10 hebu piga hesabu hapo alaf uniambie🤣🤣🤣🤣
 
Hebu soma vzr wateja ni 3.2m wateja lakini data yenu inaonesha sio wateja watu waliofikiwa na umeme ni 8m maana yake wamechukua population na sio customers

So nyumba moja au mteja mmoja anaeza kua na familia ya watu 5 mpaka 10 hebu piga hesabu hapo alaf uniambie🤣🤣🤣🤣
Kusoma ndio hujui ama? Ama ni vile nimekupeleka mbio Hadi sasa akili imeanza kujichanganya?😂😂🤣🤣😂

Ebu soma hii heading vizuri🤣🤣😂🤣

20230319_145539.jpg
 
Pia ukimwuiza mtanzania yeyote, nchi gani Africa yenye njaa jibu ni Kenya
🤣🤣🤣🤣🤣 acha wajifurahishe kidogo manake tanzania hua inashtukiza sana kwenye maendeleo acha kidogo wajidanganye sisi tusoge watashtuka kumekucha watafute shuka
 
Tanzania's textile industry haiwenusa ya Kenya hata robo. Mibongolala kwa kujiliwaza hawajambo
Na yet munavaa nguo kutoka tanzania na m baya zaidi mpaka SGR nguo zote zimetoka tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom