Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ebu leta any recent Forbes article (2021-2023) yoyote inaweka any Tanzanian ahead of Akothee, ulipata natoka JF for good 🤣🤣😂
Haya fanya utoke sasa 🤣🤣🤣🤣
20230315_233726.jpg
 
Ebu leta any recent Forbes article (2021-2023) yoyote inaweka any Tanzanian ahead of Akothee, ulipata natoka JF for good 🤣🤣😂
Na huwez sikia watu wanaongea hapa kijana kazaliwa 1989 around 33 yrs🤣🤣 unafananisha na lile bibi lizee over 40yrs serious
Screenshots_2023-03-15-23-47-33.png
 
Sorry, hii ni list ya Forbes?😂😂😂 This was a list compiled by Apoko. Huyo hananga akili tu kama wewe😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 ni kweli hana akili 12m vs 8m naona 8m ni kubwa
Screenshots_2023-03-15-23-47-33.png
 
Ebu tuonyeshe penye wametoa reference 😂🤣😂
Then google is ur friend nimekupa ushahidi wa kutosha ukitaka chukua huwez acahana nao ila ukweli uko pale pale 🤣🤣🤣
 
Even alikiba ana networth of $7m
Prof jay over $7m

Na huwez sikia hata tunaongea humu ndani🤣
Ona vile Diamond alilia after kushindwa na Akothee, so wewe unajua zaidi kuliko Diamond mwenye aliona hiyo ranking akajaribu kukosoa Forbes?🤣🤣😂😂

1678914503718.png
 
Ona vile Diamond alilia after kushindwa na Akothee, so wewe unajua zaidi kuliko Diamond mwenye aliona hiyo ranking akajaribu kukosoa Forbes?🤣🤣😂😂

View attachment 2553091
Kwann asikosoe au hana haki and that was 2017 🤣 na sasa wanamtambua ni nani na africa inamjua ni nani vile vile

Unafananisha bibi wa over 40yrs na kijana wa 33yrs 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom