Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Najua kiingereza hukielewi but I understand you are a bongolala. I said bottom right corner and here it is
View attachment 2541982
Bado huoni jengo limeandikwa butterfly hotel hapo? Na je, lipo Kariakoo au la? 😂😂😂

Hii Dar yenu linganisheni na Kampala coz haina cha kulinganisha na Nairobi nje ya hiyo cbd yenu
Ww ni chizi wa aina yake kila siku mm hua nakwambia ww chizi wa aina yake 🤣🤣🤣

So hii ni karikoo au sio 🤣🤣🤣🤣
IMG_6240.JPG
 
Ww ni chizi wa aina yake kila siku mm hua nakwambia ww chizi wa aina yake 🤣🤣🤣

So hii ni karikoo au sio 🤣🤣🤣🤣View attachment 2541989
Utatumia maneno mingi na emoji milioni moja but that won't change anything. Butterfly hotel lipo Kariakoo and it's well captured in that image you call Ilala. Jitathmini bongolala
 
Najua kiingereza hukielewi but I understand you are a bongolala. I said bottom right corner and here it is
View attachment 2541982
Bado huoni jengo limeandikwa butterfly hotel hapo? Na je, lipo Kariakoo au la? 😂😂😂

Hii Dar yenu linganisheni na Kampala coz haina cha kulinganisha na Nairobi nje ya hiyo cbd yenu
Butterfly kko hotel ni hii hapa hata map hujui kusoma bwege we 🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20230308-174503.png
 
Najua kiingereza hukielewi but I understand you are a bongolala. I said bottom right corner and here it is
View attachment 2541982
Bado huoni jengo limeandikwa butterfly hotel hapo? Na je, lipo Kariakoo au la?

Hii Dar yenu linganisheni na Kampala coz haina cha kulinganisha na Nairobi nje ya hiyo cbd yenu
Wewe hujui mpaka wa Kko na Ilala uko wapi so ficha ujinga wako hapa.
 
Kama hapo ni ilala picha ya butterfly hotel iliyopo Kariakoo inafanya nini hapo?
Nimekwambia hio picha hapo ni ilala sasa unachobishia ww nn?? Au unataka tuseme sio ilala ni kariakoo???🤣🤣🤣🤣
 
SSH anasema kuna vinchi vinaomba tuwawekee dhamana ili wapate fedha za kigeni waagize mafuta.

Tuna fedha za kigeni za kutumia miezi minne mbele, kuna vinchi hata za kutumia wiki hawana.
angongea hivi Magufuli wangesema mropokaji anaharibu diplomacy sababu kila mtu anakijua hicho kinchi 😅😅😅
 
Hakuna mtu yeyote duniani atakayeweza kumsikiliza mtu ambaye hana uwezo wa kujitafutia chakula. Yaani hata wanyama wanawazidi akili?. Aibu Karne ya watu wanajiandaa kwenda Mars. Ninyi bado mnasumbuka na kutafuta chakula, na bado unataka watu wakusikilize.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kawaida yenu mkishashindwa kwenye hoja. Lazima neno njaa na slum litamkwe to help lick your wounds
 
Na hio inaonesha ni bango limewekwa kwenye gorofa lakini sio butterfly hotel ilioko kariakoo tumia tu akili ya kuzaliwa kujua hilo 🤣🤣🤣🤣🤣
Bongolala, hilo ni jengo lenyewe hata rangi nyekundu iliyotumika kwenye ile picha uliyopost ndio pia imetumika hapo juu ya jengo. Wacha ubishi za kijinga
 
Siku hzi parkland iko westland sinilikwambia mm ukitoa CBD wetsland na upperhill nairobi imekwisha unakaa kulia ovyo hapa 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2541980
Kwa jinsi unavyoongea, is it also right to say that kijiko ya nyama ipo posta just because they are captured in one picture?
moizhusein_1642362358564836.jpg
 
Back
Top Bottom